Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

But what I know physical things are proved physically, and spiritual things are proved spiritually, you can't prove spiritual things with physical evidence.
How do you know spiritually really exists?

Unaweza thibitisha Roho ipo?
 
Nyinyi vijana sijui mnakwama wapi

Mzungu amenda kwa mwanaume akachukua shahawa na akaenda kwa mwanamke akachukua yai akaingia navyo maabara akaviweka katika chupa tena kwa condition zile zile za Mungu ikiwepo temperature sasa hapo cha ajabu nini?

Mpaka hivi sasa tunavyoongea hakuna mwanasayansi yoyote anaeweza kutengeneza shahawa na yai la binaadam wanatumia hayo hayo ya Mungu na kufuata conditions zake muhimu

Na kama mnazani wanasansi hawaamini uwepo wa Mungu mnajidanganya maana kuna tafiti nyingi wanafanya mwisho wanagonga ukuta na hapo ndipo wanapokubali uwezo wa Mungu

Mfano Expansion ya maji wanasansi wameita anomalous expansion kwa sababu ni expansion ya ajabu ipo tofauti kabisa na expansion za vimiminika vyote

Maji yapo kuwa ice density yake inakuwa ndigo hivyo ice ina kuwa inaelea ju ya maji Mungu amefanya hivi ili samaki waweze kuishi katika nchi za baridi utakuta bahari imefunikwa na barafu lakini huko chini kuna maji ya kawaida na maisha ya samaki yanaendelea mpaka Leo wanasansi hawana jibu katika hili wamemuachia Mungu mwenyewe

Nyinyi ni vilaza wa vilaza mnadanyana tu
Ata wewe unajidanganya tu kwa kuamin kila kitu ambacho akijulikani mechanism yake au muujiza basi mhusika ni Mungu. Kama Mungu unaemwamini ni all good,all powerful and all loving kwanini 1755 alisababisha Lisbon great earthquake na ilikuwa siku ya ALL SAINTS iliua watu 12000+ kuhusu ili watu wa dini mnatueleza nini??
 
Back
Top Bottom