Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

Ili usionekane kila sema ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako?

Ukimjua aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ndio itakuwa uthibisho wako kuwa Mungu yupo na ndio utakuwa mwisho wa ukilaza wako
Ni upimbi kufikiri kizembe kama hivyo kuwa "I don't know the answer, therefore God did it."

Watu waliihusisha radi na Mungu anayeitwa Thor, Zeus na wapo wagiriki wa kale waliohusisha mafuriko na Mungu mwenye hasira "Poseidon"

Yote hayo leo hii yanajulikana ni UPIMBI tu.

Kuendelea kusisitiza habari za mishipa imewekwa a nani hiyo ni Argumentum Ad Ignorantium
 
Ni upimbi kufikiri kizembe kama hivyo kuwa "I don't know the answer, therefore God did it."

Watu waliihusisha radi na Mungu anayeitwa Thor, Zeus na wapo wagiriki wa kale waliohusisha mafuriko na Mungu mwenye hasira "Poseidon"

Yote hayo leo hii yanajulikana ni UPIMBI tu.

Kuendelea kusisitiza habari za mishipa imewekwa a nani hiyo ni Argumentum Ad Ignorantium
Maana yake ni kwamba wewe ni kiumbe dhaifu sana kiasi kwamba hata aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako humjui
Alafu eti unahoji uwepo wa Mungu

Nakushauri kwanza mtafute aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ukisha mjua ndio utafute uthibisho kuwa Mungu yupo au hayupo

Na kama ufahamu wako ni mdogo kiasi kwamba hata ufanye nin hauwezi kumtambua aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ambavyo hivyo ndio vinakufanya uendelee kuishi na kushika smart phone na kumtukana Mungu basi ujijue kuwa wewe ni kilaza wa vilaza hapa duniani
 
Maana yake ni kwamba wewe ni kiumbe dhaifu sana kiasi kwamba hata aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako humjui
Alafu eti unahoji uwepo wa Mungu

Nakushauri kwanza mtafute aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ukisha mjua ndio utafute uthibisho kuwa Mungu yupo au hayupo

Na kama ufahamu wako ni mdogo kiasi kwamba hata ufanye nin hauwezi kumtambua aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ambavyo hivyo ndio vinakufanya uendelee kuishi na kushika smart phone na kumtukana Mungu basi ujijue kuwa wewe ni kilaza wa vilaza hapa duniani
Sasa kama mi ni kiumbe dhaifu huoni hiyo ni error kuonesha hakuna Mungu?
 
Sasa kama mi ni kiumbe dhaifu huoni hiyo ni error kuonesha hakuna Mungu?
Kama ulimuandikia barua ukuumbe ukiwa Efficient ala yeye akashindwa akakuumba ukiwa dhaifu kama hivyo ulivyo ni kweli hiyo ni error ila kama aliamua akuumbe hivyo sio error

Lakini pia unawwza ukajipa wewe mwenyewe hiyo Efficient ambayo haukupewa
 
Kama ulimuandikia barua ukuumbe ukiwa Efficient ala yeye akashindwa akakuumba ukiwa dhaifu kama hivyo ulivyo ni kweli hiyo ni error ila kama aliamua akuumbe hivyo sio error

Lakini pia unawwza ukajipa wewe mwenyewe hiyo Efficient ambayo haukupewa
Kwanza mi sijaumbwa nina wazazi wangu walionizaa

Tuwekane sawa kwanza hapo

Bado unafanya imagination kwa ku assert vitu ambavyo huwezi kuthibitisha
 
Kwanza mi sijaumbwa nina wazazi wangu walionizaa

Tuwekane sawa kwanza hapo

Bado unafanya imagination kwa ku assert vitu ambavyo huwezi kuthibitisha
Unawwza ukathibitisha kuwa shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani baba yako alizitengeneza mwenyewe kwa ujuzi wake?

Pia unaweza kuthibitisha yai la mama yako lililotumika kukufanya wewe uje duniani alilitengeneza mama yako mwenyewe kwa ujuzi wake?
 
Unawwza ukathibitisha kuwa shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani baba yako alizitengeneza mwenyewe kwa ujuzi wake?

Pia unaweza kuthibitisha yai la mama yako lililotumika kukufanya wewe uje duniani alilitengeneza mama yako mwenyewe kwa ujuzi wake?
Argument from ignorance
 
Unawwza ukathibitisha kuwa shahawa za baba yako zilizofanya wewe uje duniani baba yako alizitengeneza mwenyewe kwa ujuzi wake?

Pia unaweza kuthibitisha yai la mama yako lililotumika kukufanya wewe uje duniani alilitengeneza mama yako mwenyewe kwa ujuzi wake?
We ni mbishi usiye kuwa na facts yaaani umekomalia maswala ya sijui nan katengeneza yai la mama sijui alietengeneza shahawa ya baba lakini huwezi thibitisha alietengeneza hivyo vyote ni Mungu wako. Nowadays madaktari wanaweza kufanya artificial insemination na mtoto akawa katengenezwa maabara aya tuoneshe mungu wako kahusika vipi apo? Lete facts za kuthibitisha uwepo wa Mungu wako acha kubwata
 
Argument from ignorance
Wewe ndio ignorance

Maana nimekuliza ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako hujui

Na ni nani aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizokufanya wewe uje hapa duniani hujui

Hayo yote ni maswali ya mahimu sana kwako maana ndio yanabeba msingi wa wewe kuja duniani na kuishi lakini majibu yake huna yani upo upo hapa duniani

We sema tu labda hayo mambo yalifanywa na kibwengo au Bashite kutoka koromije

Yesu alisema waache wafu wawazike wafu wao
 
Wewe ndio ignorance

Maana nimekuliza ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako hujui

Na ni nani aliyetengeneza shahawa za baba yako zilizokufanya wewe uje hapa duniani hujui

Hayo yote ni maswali ya mahimu sana kwako maana ndio yanabeba msingi wa wewe kuja duniani na kuishi lakini majibu yake huna yani upo upo hapa duniani

We sema tu labda hayo mambo yalifanywa na kibwengo au Bashite kutoka koromije

Yesu alisema waache wafu wawazike wafu wao
Argumentum Ad Ignorantium

concluding that
something is true since you can't prove it is false
 
Wapi nimesema naamini mziki?
IMG_20220415_160344.jpg
 
Kusema "mziki ndio ulianza kabla ya uimbaji"

Kusema huko ndio nakuwa nimesema "naamini mziki"?

Unasherekea april fool katika tarehe isiyo sahihi au ndio ku prove kwamba we ni incredibly fool?
 
We ni mbishi usiye kuwa na facts yaaani umekomalia maswala ya sijui nan katengeneza yai la mama sijui alietengeneza shahawa ya baba lakini huwezi thibitisha alietengeneza hivyo vyote ni Mungu wako. Nowadays madaktari wanaweza kufanya artificial insemination na mtoto akawa katengenezwa maabara aya tuoneshe mungu wako kahusika vipi apo? Lete facts za kuthibitisha uwepo wa Mungu wako acha kubwata
Quran 35:11.
Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii.

Quran 23:14.
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.


Huo ndio uthibitisho wangu kuwa wewe umeumbwa na Mungu

Hizo ni aya za Quran ambayo ni maneno ya Mungu alimwambia mtume Muhammad

Mtume Muhammad amesharariki amezukwa Madina na kaburi lake lipo hadi Leo ukitaka unaweza kuenda kuliona

Hu ni uthibitisho wangu Mimi kuwa wewe umeumbwa na Mungu sio lazima wewe ukubali

Ila kama unaupinga uthibitisho wangu basi inatakiwa utoe uthibitisho wako kuwa wewe haujambwa na Mungu bali umeumbwa na huyo ambae utatujia kwa uthibitisho wako

Ukishindwa kufanya hivyo jua wewe ni kilaza kama huyo mwenzako Scars
 
We ni mbishi usiye kuwa na facts yaaani umekomalia maswala ya sijui nan katengeneza yai la mama sijui alietengeneza shahawa ya baba lakini huwezi thibitisha alietengeneza hivyo vyote ni Mungu wako. Nowadays madaktari wanaweza kufanya artificial insemination na mtoto akawa katengenezwa maabara aya tuoneshe mungu wako kahusika vipi apo? Lete facts za kuthibitisha uwepo wa Mungu wako acha kubwata
Nyinyi vijana sijui mnakwama wapi

Mzungu amenda kwa mwanaume akachukua shahawa na akaenda kwa mwanamke akachukua yai akaingia navyo maabara akaviweka katika chupa tena kwa condition zile zile za Mungu ikiwepo temperature sasa hapo cha ajabu nini?

Mpaka hivi sasa tunavyoongea hakuna mwanasayansi yoyote anaeweza kutengeneza shahawa na yai la binaadam wanatumia hayo hayo ya Mungu na kufuata conditions zake muhimu

Na kama mnazani wanasansi hawaamini uwepo wa Mungu mnajidanganya maana kuna tafiti nyingi wanafanya mwisho wanagonga ukuta na hapo ndipo wanapokubali uwezo wa Mungu

Mfano Expansion ya maji wanasansi wameita anomalous expansion kwa sababu ni expansion ya ajabu ipo tofauti kabisa na expansion za vimiminika vyote

Maji yapo kuwa ice density yake inakuwa ndigo hivyo ice ina kuwa inaelea ju ya maji Mungu amefanya hivi ili samaki waweze kuishi katika nchi za baridi utakuta bahari imefunikwa na barafu lakini huko chini kuna maji ya kawaida na maisha ya samaki yanaendelea mpaka Leo wanasansi hawana jibu katika hili wamemuachia Mungu mwenyewe

Nyinyi ni vilaza wa vilaza mnadanyana tu
 
Thread zako mbili zote hujathibitisha Mungu yupo

Na hii yatatu lakini mambo ni yale yale

Huo ni zaidi ya ukaidi
But what I know physical things are proved physically, and spiritual things are proved spiritually, you can't prove spiritual things with physical evidence.
 
Back
Top Bottom