Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni Wakaidi (3)

Una mishipa mingapi ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na hiyo idadi utakayoitaja uliamuwa wewe mwenyewe uwe nayo au yupo aliyeamua uwe nayo

Kama uliamuwa wewe mwenyewe weka uthibisho

Na kama sio wewe tuambie ni nani aliyeweka hiyo idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako weka uthibitisho tumjue


Atajuaje idadi ya mishipa ya damu wakati mishipa ya ubongo tu (neurons) hana!!
 
Una mishipa mingapi ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na hiyo idadi utakayoitaja uliamuwa wewe mwenyewe uwe nayo au yupo aliyeamua uwe nayo

Kama uliamuwa wewe mwenyewe weka uthibisho

Na kama sio wewe tuambie ni nani aliyeweka hiyo idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako weka uthibitisho tumjue
Hii inathibitisha sijui idadi haithibitishi kwamba Mungu ndio sababu

Lakini hii pia inathibitisha kuwa mlio wengi mmeakubali dhana ya dini kwa kushindwa kupata majibu ya maswali kama hayo
 
Hii inathibitisha sijui idadi haithibitishi kwamba Mungu ndio sababu

Lakini hii pia inathibitisha kuwa mlio wengi mmeakubali dhana ya dini kwa kushindwa kupata majibu ya maswali kama hayo
Una mishipa mingapi ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na hiyo idadi utakayoitaja uliamuwa wewe mwenyewe uwe nayo au yupo aliyeamua uwe nayo

Kama uliamuwa wewe mwenyewe weka uthibisho

Na kama sio wewe tuambie ni nani aliyeweka hiyo idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako weka uthibitisho tumjue


Majibu ya haya maswali sisi tunayo na ndio uthibisho wetu kuwa Mungu yupo kupitia maandiko

Sasa wewe ambae hauamini vitabu vya Mungu ndio uweke uthibisho ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako

Tena hata Leo hi hujui huo mwili wako una mishipa mingapi ya damu na fahamu
 
Una mishipa mingapi ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na hiyo idadi utakayoitaja uliamuwa wewe mwenyewe uwe nayo au yupo aliyeamua uwe nayo

Kama uliamuwa wewe mwenyewe weka uthibisho

Na kama sio wewe tuambie ni nani aliyeweka hiyo idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako weka uthibitisho tumjue


Majibu ya haya maswali sisi tunayo na ndio uthibisho wetu kuwa Mungu yupo kupitia maandiko

Sasa wewe ambae hauamini vitabu vya Mungu ndio uweke uthibisho ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako

Tena hata Leo hi hujui huo mwili wako una mishipa mingapi ya damu na fahamu
Mkuu maandiko sio uthibitisho ni madai

Cosmological, teleological nk. Hizo sio uthibitisho hizo ni attempts zilizojaribu kum define Mungu kwa kuangalia complex ya vitu na mwisho wa siku bado zinapwaya

Usijidanganye mimi na wewe wote hakuna anayejua mishipa imewekwa na kitu gani

Siku hizi theists waliokuwa advanced kidogo hawatumii hoja kama hii kwenye mijadala ya kuthibitisha uwepo wa Mungu

Hoja ya complex itaku lead kufikia kuuliza chanzo cha Mungu ambacho huwezi ukajibu kwa kutaja chanzo chake jambo ambalo litaonyesha kuwa chanzo sio muhimu ili kingine kiwepo
 
View attachment 2186952

Unasema una amini at the same time unasema hauoni mfumo huu upo sahihi. nikueleweje?

Imani ingekuwa njia thabiti ya kujua ukwei wa jambo, basi kungekuwa na dini moja yenye imani moja

Uwepo wa imani tofauti zinazopingana ni ushahidi kwamba imani sio mfumo sahihi
Hujanielewa vizuri, lakini hii haikufanyi usijibu swali.

Sema ulitaka iweje ili uweze kunyenyekea na kujisalimisha kwa mola wako?
 
Hujanielewa vizuri, lakini hii haikufanyi usijibu swali.

Sema ulitaka iweje ili uweze kunyenyekea na kujisalimisha kwa mola wako?
Ninyenyekee kwani yupo?
 
Wewe una huo ushahidi wa Mungu mmoja tofauti na yale maandiko ya mchongo?

Angekuwa Mungu mmoja angewapa waislam sheria tofauti na wakristo, wayahudi sheria tofauti na waislam, wabudha sheria tofauti na wakristo? Huyo Mungu ni mmoja?

Haya sasa mtwambie ni Mungu gani aliyeviumba hivyo? Ni Allah, Yehova, Krishna au nani? Maana hawa wote wana sifa tofauti na sheria tofauti.

Ukisoma simulizi za kale za kihistoria (nimesema za kihistoria, sio za kiimani, maana historia inasikulia yaliyopata kutokea, na imani inalazikisha kuamini tu bila kuhoji hata kama huna uhakika. Kwa hiyo vitabu vya historia ni source ya kutumainiwa kuliko vitabu vya imani) utaona kuna viumbe walitoka nje ya dunia na ndio waliounda viumbe wote.
Kwahiyo wewe unaviamini vitabu vya historia.

Basi hivyo ndio vitabu vyako vya kiimani, japo umeamua kuviita vya historia.
 
Mkuu maandiko sio uthibitisho ni madai

Cosmological, teleological nk. Hizo sio uthibitisho hizo ni attempts zilizojaribu kum define Mungu kwa kuangalia complex ya vitu na mwisho wa siku bado zinapwaya

Usijidanganye mimi na wewe wote hakuna anayejua mishipa imewekwa na kitu gani

Siku hizi theists waliokuwa advanced kidogo hawatumii hoja kama hii kwenye mijadala ya kuthibitisha uwepo wa Mungu

Hoja ya complex itaku lead kufikia kuuliza chanzo cha Mungu ambacho huwezi ukajibu kwa kutaja chanzo chake jambo ambalo litaonyesha kuwa chanzo sio muhimu ili kingine kiwepo
Mimi najua aliyeweke mishipa ya damu na fahamu katika mwili wangu ni Mungu

Ndio nataka na wewe useme ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na kama hujui idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako na pia wala hujui ni nani aliyeweka ina maana mwili wako mwenyewe hauufahamu kwa lugha nyepesi wewe ni kilaza

Kwa hiyo yote unayoongea kuwa hakuna Mungu ni kwa sababu wewe ni kilaza

Ukikutana na vilaza wenzako ndio utawambia kuwa hakuna Mungu na wao kwa kuwa ni vilaza kama wewe watakubali ila sio kwa watu wenye akili timamu kama sisi
 
Mimi najua aliyeweke mishipa ya damu na fahamu katika mwili wangu ni Mungu

Ndio nataka na wewe useme ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako?

Na kama hujui idadi ya mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako na pia wala hujui ni nani aliyeweka ina maana mwili wako mwenyewe hauufahamu kwa lugha nyepesi wewe ni kilaza

Kwa hiyo yote unayoongea kuwa hakuna Mungu ni kwa sababu wewe ni kilaza

Ukikutana na vilaza wenzako ndio utawambia kuwa hakuna Mungu na wao kwa kuwa ni vilaza kama wewe watakubali ila sio kwa watu wenye akili timamu kama sisi
Nimekuambia hata wewe haujui na hapa umethibitisha nilicho kisema

Kusema ni Mungu kaweka hayo ni madai sio uthibitisho

Kilaza wa kwanza ni yule ambaye anafikiri kusema Mungu yupo ndio kuthibitisha yupo
 
Nimekuambia hata wewe haujui na hapa umethibitisha nilicho kisema

Kusema ni Mungu kaweka hayo ni madai sio uthibitisho

Kilaza wa kwanza ni yule ambaye anafikiri kusema Mungu yupo ndio kuthibitisha yupo
Ili usionekane kila sema ni nani aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako?

Ukimjua aliyeweka mishipa ya damu na fahamu katika mwili wako ndio itakuwa uthibisho wako kuwa Mungu yupo na ndio utakuwa mwisho wa ukilaza wako
 
Back
Top Bottom