danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Ushoga lazima ukemewe, na ni sahihi kuwataja ili jamii iwajue na waaibike. kukaa kimya juu ya hili ni sawa na kuunga mkono ushoga. Na anaetetea au kuunga mkono hilo anapractice ushoga pia
Mkuu kuna watu ni wachawi lakini bado wanaenda kanisani,kuna watu ni majambazi lakini bado wanaenda kanisani...je itashidikana vipi kwa mtumishi unaemsema wewe kuwa shoga?...kumbuka hili ni agano jipya kwahy kila mtu atahukumiwa cku ya mwisho co kama zamani mtu alikuw anahukumiwa at the spot...ata wewe unaeza ukawa unazini kisiri siri no body knows lakini unaenda kanisan au msikitini (mfano huo lakini)nakubaliana nawe kwa mtu anaye fanya ushoga kwa influence ya utandawazi, tamaa ya fedha nk. lakini kundi kubwa la hawa watu wako hormonal driven. kumbuka hapo katajwa hata mtumishi wa Mungu.
utachukia wangap mkuu ....kama mtu hawaangaiki na space yako kwanini uanzee wachukia ....taja vitu unavyovichukia alafu angalia marafiki zako kama wanakosa hivo vitu?Chichidodo...ndumilakuwili.. using'ate na kupuliza af kuwa na msimamo...et mi sipendi ushoga af tena m siwezi kumchukia shoga...huo ni unaaa...huez chukia jambo af ukampenda anaelifanya
Hivi kwanini masuala ya watu binafsi manakua concerned nayo sana?Hili ni swali fikirishi
Iwapo utagundua ndugu yako wa karibu,ni shoga je utaachukua hatua gani?Iwapo utajigundua kuwa wewe mwenyewe ni Homosexual utachukua hatua gani?
Kuna wanaopiga vita ushoga ilhali hawajawahi kuwaona mashoga,kuna ambao wamewahi kuwaona na kuzungumza nao na wanaelewa msingi wa hoja.
Kwa nilichokionawanaopiga vita ushoga kwa ndani wanaunga mkono hii tabia ila hawana ujasiri wa kuitetea mbele ya jamii.ni ndumila kuwili ambao mchana wanapinga na usiku wanaunga mkono.
Sioni sababu ya kuwanyanyasa ndugu zetu hawa huku tukijua kuwa tunafanya unafiki wa wazi
Je Tuwaelewe kabla ya kuwahukumu?
#stophomophobia #noprostitution
Are you fckn serious!!!! Una mtoto?Hivi kwanini masuala ya watu binafsi manakua concerned nayo sana?
Yaani mtu afilike yeye, apate raha yeye alafu kero uone wewe?
Hapana jamani. Hii haiingii akilini. Wanaogawa ndogo waacheni waendelee kugawa as long as hawakupunguzii chochote. Tumechoshwa na hizi drama
Mkuu get to know kwamba cna rafiki shoga...na nikiona rafiki umekaa kisnitch nakuchana af nakupiga chini ufate mbishe zako...sasa wewe kauli ya kusema hupendi ushoga af then huez kumchukia shoga aaah nimekushusha vyeo kabisa...hiyo co kauli kabisautachukia wangap mkuu ....kama mtu hawaangaiki na space yako kwanini uanzee wachukia ....taja vitu unavyovichukia alafu angalia marafiki zako kama wanakosa hivo vitu?
Hivi kwanini masuala ya watu binafsi manakua concerned nayo sana?
Yaani mtu afilike yeye, apate raha yeye alafu kero uone wewe?
Hapana jamani. Hii haiingii akilini. Wanaogawa ndogo waacheni waendelee kugawa as long as hawakupunguzii chochote. Tumechoshwa na hizi drama
Mkuu tunachosema hapa ni kwamba epushia mbali asijetokea mtu ambaye ni hormonal driven homosexual. Utakumbuka nilichoandika hapa. Nimewahi muona mmoja kilwa hata sauti kama demu na most of time yuko na wadadaMkuu kuna watu ni wachawi lakini bado wanaenda kanisani,kuna watu ni majambazi lakini bado wanaenda kanisani...je itashidikana vipi kwa mtumishi unaemsema wewe kuwa shoga?...kumbuka hili ni agano jipya kwahy kila mtu atahukumiwa cku ya mwisho co kama zamani mtu alikuw anahukumiwa at the spot...ata wewe unaeza ukawa unazini kisiri siri no body knows lakini unaenda kanisan au msikitini (mfano huo lakini)
Hizi ni karata wanasiasa wanazitumia. Wanajua ukionekana una msimamo mkali kuhusu mashoga mambumbumbu watakushangilia na kukubali sana. ila kiukweli kufuatilia mashoga ni kufuatilia upepo na kuingilia haki za binadamu.Hivi kwanini masuala ya watu binafsi manakua concerned nayo sana?
Yaani mtu afilike yeye, apate raha yeye alafu kero uone wewe?
Hapana jamani. Hii haiingii akilini. Wanaogawa ndogo waacheni waendelee kugawa as long as hawakupunguzii chochote. Tumechoshwa na hizi drama
Mkuu tunachosema hapa ni kwamba epushia mbali asijetokea mtu ambaye ni hormonal driven homosexual. Utakumbuka nilichoandika hapa. Nimewahi muona mmoja kilwa hata sauti kama demu na most of time yuko na wadada
sasa wewe ndio umenena jambo la msingi kabisaHili ni swali fikirishi
Iwapo utagundua ndugu yako wa karibu,ni shoga je utaachukua hatua gani?Iwapo utajigundua kuwa wewe mwenyewe ni Homosexual utachukua hatua gani?
Kuna wanaopiga vita ushoga ilhali hawajawahi kuwaona mashoga,kuna ambao wamewahi kuwaona na kuzungumza nao na wanaelewa msingi wa hoja.
Kwa nilichokionawanaopiga vita ushoga kwa ndani wanaunga mkono hii tabia ila hawana ujasiri wa kuitetea mbele ya jamii.ni ndumila kuwili ambao mchana wanapinga na usiku wanaunga mkono.
Sioni sababu ya kuwanyanyasa ndugu zetu hawa huku tukijua kuwa tunafanya unafiki wa wazi
Je Tuwaelewe kabla ya kuwahukumu?
#stophomophobia #noprostitution
Hizo ni hadithiPumbavu. Sodoma na Gomora bado hamjajifunza. JF inapotea taratibu.
Hizo ni hadithi
freedom of thought think twice senor. These people deteriorate our generation imagine having gays and lesbians in your town.Uhuru wa mawazo,, hata kama yupo negative,,
Kosa lao kubwa la watu wa Sodoma na Gomora ni kuwazingira malaika na kutaka kuwafanyia huo mchezo wakijua kuwa wale ni wanawali. Kitendo kile kiliwaudhi wao kwanza na kuwapofusha macho wote muda ule ule wote waliokua wamewazingira.
Huo mchezo mchafu kwao ulikua umegeuka kuwa ni kama ibada . Hakuna dhambi ndogo.
Kuuana ,uongo ,dhulma,woga, na kupenda madaraka sana ni dhambi kubwa na hua Mungu anatoa adhabu japo Mungu haleti Moto badala yake anawachilia Roho ya vita munauana sana mpaka mfikie Toba. Angalia Kongo,Sudan, Somalia, Libya, Iraq, Burundi ,Rwanda n.k.Kwa hiyo kama Taifa tusijidanganye kuwa eti Ushoga ndiyo dhambi kubwa kuliko zote lahasha . Ni kwa sababu tu Mungu anaingilia kati dhambi hiyo inapofanyika na kuleta majanga kama adhabu kwa dhambi hiyo mana ni dhambi ya makubaliano haina visasi kati ya binadamu na binadamu kama malipizi. Kwa maana kwamba Mungu asipoingilia itaenea sana na kuharibu uumbaji wa asili wa Mungu na agizo lake la mwaname kuoa mwanamke.