Wanaopajua dodoma mniambie.

kwa msaada zaidi tuwasiliane nikutembeze maeneo mengi mengi, hasa tutakapokutana nitajua hoby zako so itakua rahisi kujua wapi nikupeleke.

ahsante tufikiri, kuhusu hoby naweza kukwambia kabla.
 

umenisaidia sana si kidogo. Nashukuru.
 
and where the H is Kaizer..................?

Husninyo..................wasiliana na Mkiti wa JF Dodoma wing Kaizer......then tutapanga makaribisho rasmi, bahati mbaya niko safarini Singida

Karibuu makao makuu!

ahsante maskini jeuri. Huyo kaizer nae yupo dodoma au?
 
Wapenzi naombeni kujua maeneo ya kujidai/mtoko katika mkoa wa dodoma. Napenda sehemu tulivu ambazo hazina makelele. Nataka niwe najipa mtoko angalau weekend katika kipindi chote nitakachokuwa huku. Thanx.

Mji una wenyewe bana tumejaa huku baki huko huko ujidai vizuri. teh teh .... . .
 
Wapenzi naombeni kujua maeneo ya kujidai/mtoko katika mkoa wa dodoma. Napenda sehemu tulivu ambazo hazina makelele. Nataka niwe najipa mtoko angalau weekend katika kipindi chote nitakachokuwa huku. Thanx.

dah upo dodoma? wabunge wa chadema wakitoka tena bungeni tunaomba utupatie picha zao laivu.
 
Unaweza ukaenda pia royal village inapatikana area D ni sehemu nzuri, tulivu, upepo mzuri hakuna msongamano nyama nzuri za kuku, mbuzi, ng'ombe zinapatikana ila sina hakika kama "mbuzi mkatoliki" anapatikana pale. But all the same ni sehemu tulivu.
 
Mkuu mbona baada ya maelekezo ya wadau, hujaeleza kama umetembelea maeneo waliokuelekeza na umeyaonaje.

nitakupa feedback ila kuna maeneo niliyoelezwa nasikia yana makelele eg chako chako.
 


Hahahah , Hiyo inaitwa M@T@KO BAR!
 
Ukitaka kwenda kanisani uende kanisa la Mtakatifu paulo Maeneo ya iringa road!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…