Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,124
- 5,697
Kuna watu wanasema eti Polepole alizuia demokrasia mara ooh alikandamiza wapinzani eti aliunga mkono watekaji
Sasa Polepole alikuwa nani serikalini? Si yeye alikuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama tu tena chini ya
1. Mwenyekiti
2. Makamu mwenyekiti bara
3. Makamu m/kiti Zanzibar
4. Katibu mkuu
6. Yeye
Serikalimi alikuwepo
1. Rais
2. Makamu wa rais ambaye sasa ndo rais
3. Spika wa bunge.
4.Jaji mkuu
Sasa unapomtuhumu Polepole si unamtukana rais moja kwa moja maana yeye ndo alikuwa namba mbili kwenye maamuzi?
Kumbe Majaliwa naye akiondoka huko kwenu mtaanza kumsema alikuwa mtekaji?
Sasa Polepole alikuwa nani serikalini? Si yeye alikuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama tu tena chini ya
1. Mwenyekiti
2. Makamu mwenyekiti bara
3. Makamu m/kiti Zanzibar
4. Katibu mkuu
6. Yeye
Serikalimi alikuwepo
1. Rais
2. Makamu wa rais ambaye sasa ndo rais
3. Spika wa bunge.
4.Jaji mkuu
Sasa unapomtuhumu Polepole si unamtukana rais moja kwa moja maana yeye ndo alikuwa namba mbili kwenye maamuzi?
Kumbe Majaliwa naye akiondoka huko kwenu mtaanza kumsema alikuwa mtekaji?