Wanaomtetea Mrusi dhidi ya uvamizi wake nchini Ukraine, Someni hii

Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Usipoeleza kuhusu mkataba wa Minsk, basi unakuwa hujui chanzo cha mzozo na vita hii
 
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Msimamo wake kwenye ubabe wa kimarekani duniani ni upi?

Vipi umeehawahi kulaani ubaguzi unaoendelea DHIDI ya watu weusi?

Sipendi vita…. Sipendi ubaguzi… na sipendi ubabe wa western countries DHIDI ya Africans
 
Ngoja awanyoshe kidogo...

Hata sisi visiwani wakivimba tunawanyosha kidogo...
 
Niko na mrusi lazima nae awe mbabe,kwani akiwa mmarekani peke yake dunia haitakuwa salama ameumba mungu kuwa salama ya dunia ni nguvu ya mvutano mwacheni mrusi achukuwe ukrane na kila aliemsaidia ukrane amtie adabu
Dunia ikishakua na mbabe zaidi ya mmoja tegemea dunia yenye machafuko zaidi na hatari kuliko hivi sasa.Maana kila mmoja atakua na uwezo wakuongea na kutenda analolitaka na hakuna atakaye mnyooshea kidole.Ni sawa uwe na nchi yenye maraisi wawili wenye mamlaka sawa.lazima kutokee mpasuko utakaoleta mgogoro na vurugu.kwahiyo ili mrusi awe mbabe lazima mmarekani aanguke.kitu ambacho hakiwezi kutokea kwa sasa.
 
Kuna baadhi ya geographical location ya jirani yako unaona kabisa ni hatari kwako lazima upambane kumtoa hapo ni kama Israel kukalia GOLAN HEIGHTS.

Au Tanganyika kwa Zenji

Ukikua utaelewa
Sidhani kama ni hivyo.mimi nadhani inakua hivyo kwasababu ya udhaifu wa hayo maeneo.Mimi naamini kwa mfano zanzibar kingekua ni kisiwa kikubwa,imara kijeshi na kina uchumi mkubwa kuliko tanganyika hili jambo ulilolisema kamwe lisingetokea.Ata Ukraine imevamiwa na urusi kwasababu urusi ni kubwa na imara kuliko ukraine.ingekua kinyume chake isingekua hivyo ilivyo leo.Siku zote mnyonge ndiye anayetafutiwa sababu ya kunyongwa au kuonewa.Lakini ukizifwatilia kwa kina sababu zenyewe utagundua hazina mashiko zaidi ya kuoneana.
 
hujui chochote umepumbazwa

ATAKAE SIKILIZA HIO VIDEO KAMA ANAJUA KINGEREZA KAMWE HAWEZI KUJA KUKUBALIANA NA SERA ZA MAREKANI.

"halafu marekani bwana kina muumaga nini nchi zingine zisimiliki nuclear bomb kama anataka amani.

"kwa kifupi marekani hataki aman wala balance of power wala hataki sera za self reliance anapenda ategemewe kila kitu yeye nguvu awe nayo yeye"

soma mkataba wa mwisho uliosainiwa na bush pamoja na rais wa russia 1990s
mkataba ulitaka hakuna block yoyote itakayo takiwa kujiongeza kwenda west wala east.

lakini mnadanganywa taifa lina haki yake hakuna kitu kama hicho hio ni elimu ya marekani mnatumia kuchambua kuna maeneo hata kama taifa lina haki yake lazima sera zake ziendane nq mataifa jirani yaan win win situation.

Watu hawajui kama marekani ndio "international law breaker"

sijawahigi tilia maanani sera za America na EU wanakuambia FIFA na Michezo mingine haingiliani lakini wakibanwa wanabdili kila kitu halafu unakaa unachambua mambo kwa kufata mtizamo wao daima lazima wakutawale na huwezi elewa hata wakikosea.

minsk agreement hujaisomaa kabisa iliyowekwa 2014 kati ya russia na ukraine wamevunja kila jambo.

kwa kifupi msomi na mfatiliaji huwezi kumkuta yupo upande wa marekani hata siku moja.

Dogo bado sana kujenga hoja.... hivi anajua au alishawahi kusikia Cuba missile crisis iweje russia akubali makombora kuwekwa kwenye mpaka wake kwanza Putin amekua mvumilivu muda mrefu sana
 
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Dogo huna Akili

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Nondo kumbe uko mweupe hivi linapikuja suala la siasa za kimataifa? Hoja ndogo tu, elewa kwamba kuna Zelensky halafu kuna Ukraine. Asante
 
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Nilivyoanza kusoma nikaona pumba tu nikascrol down ku coment ili nikushauri ujaribu kutumia kichwa yako vizuri badala ya kujidhalilisha namna hii
 
Abdul Nondo acha mrusi atupe raha halafu nasikia shitaka lako limeondolewa mahakamani.
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo ,huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin , mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO .

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk ) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent " yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande , ndio salama yake .

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru ?.

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine.Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple!! , UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla , yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles .Ni hofu na woga tuu sio lolote ,

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019 .

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga.Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine,sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? ,Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda ? ,Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua ?,kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake ? ,Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru , mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita ,mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga ?, Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote ? ,Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi , Operesheni ya kijeshi ?? ,Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospital ,maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana ,Hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita ,hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike ,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage ( bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians .

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha .

Unawezaje kusema hii ni Military Operation , Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts.(Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita , Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions ,, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia ! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini , NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
 
Napita tu saivi baada ntalisoma kwa makini hili bandiko lina mashiko kweli kweli
 
jirani yangu ,ukianza kutumika vibaya ,Tena kuwasogeza maadui zangu wakubwa karibu na geti la nyumba yangu ,ww sio jirani mwema Tena ,NI adui yangu pia.

uzuri jirani unajua fika historia ya uhasimu na maadui wangu,Leo hii unagonga cheas na kuwaleta wapige stori mbele ya geti la nyumba yangu,jirani kama ww Sina jinsi ni kukupa kichapo ,ili ujue Niko serious kiasi gani!!!
 
Jibu hili nilikuwa nina mjibu kaka Yericko Nyerere katika hoja zake ambazo ziliegemea kumtetea Mrusi dhidi ya Ukraine.

Nina tamani kwa yeyote anayemtetea Mrusi apate kusoma ili ndio apime hoja zake za kumtetea Mrusi dhidi Ukraine na hoja hizi chini .

Mnakosea sana suppress Sovereignty na Territorial integrity ya Ukraine.

Ukraine ni nchi huru (Sovereign State) na Mrusi anajua hilo, huko nyuma Russia na viongozi wake waliitambua Ukraine kama nchi huru na yenye mipaka yake inayopaswa heshimiwa tangu Budapest Memorandum kati ya Russia chini ya Boris Yeltsin na Ukraine chini ya Leonid Kuchman , Brokered by US under Bill Clinton.

Sasa leo nawashanga Kaka Yericko kutokana na Aggression ya Putin, mnaona Ukraine haina wajibu wa kujilinda na kulinda nchi yake na uhuru wake eti kwenye maslahi ya mipaka na Sovereignty ya nchi katika siasa za kimataifa sio chochote isipokuwa maslahi ya nchi husika , No No ! .Na lazima tupinge haya katika International Geopolitics. (Sovereignty and territorial integrity ya nchi yeyote should be respected Yericko.

Mnakosea sana Ukraine ni nchi huru jamani ili na yenyewe iwe salama dhidi ya vitisho vya Russia lazima wajiunge na NATO.

Russia ni Muoga tuu na hofu imemjaa anajua Ukrain akijunga na NATO basi Crimea zitarudishwa kuwa sehemu ya Ukraine hata hao Separatists wa Donbas (The Donetsk and Luhansk) watapigwa ili kurudi.

Na Russia inaogopa kwamba Ukraine ikijiunga tuu na NATO ndio basi tena Russia hataweza tena kuitisha Ukraine , sababu Ukraine ikiwa Sehemu ya NATO mkataba wa Washington treaty article 5 inasema kuhusu Collective Defense pale ambapo Mwanachama mmoja wa NATO akivamiwa yaani wote wanaingia vitani dhidi ya aliyemvamia Mwanachama mwenzao, hivyo Russia hataki baadaye kwa chokochoko zake na uonezi kupigana na NATO sababu atagongwa na ndiyo itakuwa vita ya tatu ya Dunia.

Watu wanasema Ukraine amegeuka Makubaliano ya Minsk Il , Sio kweli Russia ndiye ameyavunja hayo makubaliano na ameyaita "Non-existent "yaani ambayo hayapo baada ya kuitambua Donbos hii hii Februari 2022 na baada ya kupeleka majeshi badala ya kuyatoa (Withdrawal) sababu aliona kabisa amevunja mkataba wa Minsk ll ya 2015.

Lakini jiulizeni,

Karibia nchi zote ambazo ni Former Soviet , zimejiunga NATO , Poland , Hungary, Czech ,Joined 1999 .

Estonia, Latvia , Lithuania, Bulgaria , Romania, Slovakia, Slovenia joined NATO 2004.

CROATIA and Albania Joined 2009 .

Why UKRAINE iwe NONGWA ????? Kwanini UKRAINE iwe NONGWA ????

The "Putinism "ndiyo inayofanya leo Ukraine watu wanakufa ,kuangamizwa na kuuwawa ni namna tuu Putin anavyowaza na kuitazama Ukraine,Putin hajawahi kuitizam Ukraine kama nchi.Marais wengi wa Urusi kabla yake walikuwa wanaitizama UKRAINE kama nchi ila Putin hajawahi fanya hivyo.Mfano Mwaka 2008 ,Putin aliwahi kumwambia George.W Bush aliyekuwa Rais wa Marekani.

"Ukraine is an artificial state whose territory was often changed in the course of 20the Century , Russian and Ukrainian people is practically one people with common historical roots and common destiny , we have common religion, common faith , we have a similar culture , language, tradition and mentality. The Ukraine can have a future alongside Russia not out side Russia Sphere of influence in Europe" .

Maneno haya ni wazi yanaoneshs Russia haitambui Ukraine kama nchi huru na akisema ili Ukraine iweze kuishi ni lazima iwe upande wa Russia . Russia kupitia Putin amekuwa kila mara akiitisha Ukraine , akitaka kuweka viongozi awatakao yeye Ukraine.Hii haiwezekani sababu Ukraine ina mamlaka yake sio koloni la Russia.

Ukraine wamekuwa wakiishi kwa hofu , hivyo inachofanya Ukraine ni kutafuta sehemu salama ili iepukane na vitisho vya Russia , ndio maana kwa muda mrefu UKRAINE ikaona njia salama kuwa na dhamira ya kujiunga NATO .

Oooh , UKRAINE iwe nchi kati isiwe na upande, ndio salama yake.

Sawa ila unawekaje masharti kwa nchi huru?

Ukraine inaweza yenyewe kujiamulia kuwa Bufffer state (Neutral Country) kulingana na Geopolitical Crisis iliyopo ila sio kwa masharti yawekwao na Urusi dhidi ya Ukraine. Tuelewe UKRAINE is the Sovereign Country is neither part of Russia nor Russia's Colony.Ni kuheshimu Sovereignty ya nchi tuu kulingana na sheria za kimataifa Simple! UKRAINE aachwe ajiunge na NATO.

Ooohhh UKRAINE itatumiwa na NATO na nchi za Magharibi dhidi ya Russia sio hoja hiyo.

Sababu huwezi kumuwazia vibaya mwenzako kabla, yaani UKRAINE kujiunga na NATO hatafuti chochote zaidi ya kujiweka sehemu salama dhidi ya vitisho vya Russia lakini pia kuimarisha mahusiano na nchi za Magharibi kiuchumi.

Russia yeye anawaza vingine kwamba Ukraine kujiunga NATO ni njia ya Nchi za Magharibi kutaka kuitumia Ukraine dhidi yake kama yeye Russia alivyoitimia Cuba dhidi ya Marekani kwa kuweka zile Missiles. Ni hofu na woga tu sio lolote.

Ukraine iachwe ijiamulie yenyewe.

Ila ikiwa itashindikana kabisa , Ukraine iamue yenyewe sio kwa kulazimishwa kuwa the buffer State yaani Neutral Country kati ya Russia na nchi za Magharibi. Ingawa vitisho na kurimotiwa na Russia kutaendelea ndani ya Ukraine ikiwa Ukraine atakuwa Buffer State.

Kuna watu wanamlaumu Rais wa UKRAINE Zelensky kwa kutaka kujiunga NATO , kwamba amefanya watu wake kufa.

Tuelewe jamani
Zelenskiy ameingia 2019

Nyuma alikuwa Poroshenko kama Rais ambapo tayari Bunge la Ukraine lilikuwa tayari limefanya maamuzi 2016 soon baada ya Russia kuvamia UKRAINE na kuchukua Crimea na ku engineer Separatists wa Donbas kujitenga. Bunge la Ukraine lilipiga kura na kujiondoa katika status ya Aligned (Kuwa Neutral yaani nchi kati ) ambayo Rais Viktor Yanukovych alikuwa ameiweka Ukraine katika Status hiyo.

Na movement ya Ukraine kuingia NATO and EU ni mpango wa watu na wananchi wa Ukraine wenyewe wa muda mrefu sana ni hivyo tuu haujatumia ila wananchi wengi wa UKRAINE (Euromaida) wanahitaji nchi yao iwe EU na pia iwe NATO.

Ndio maana Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych aliondolewa 2014 sababu kubwa alikataa ku sain EU Association Agreement ambayo ilikuwa ni Trajectory ya UKRAINE kuanza kuingia NATO badala yake akakimbilia kutangaza kujiunga Eurasian Economic Union ya Urusi .

Wananchi wapenzi wakamtoa .So anachofanya Rais Zelenskiy kina baraka zote za wananchi na Bunge katika kulinda Maslahi ya nchi na watu wake wa Ukraine,alivyoingia Zelensky 2019 alifanya kufufua na kuendeleza tuu yale ambayo ni matakwa ya wananchi wa Ukraine, sasa kosa la Rais Zelenskiy lipo wapi? Kosa lake ni kulinda Sovereignty ya nchi yake aliyoapa kulinda? Kosa lake ni kulinda uhuru wa vyombo vya nchi yao kuamua? Kosa lake ni kulinda uhuru na matakwa ya wananchi wake? Kosa lake ni kulinda nchi yake na watu wake kwa kujitetea dhidi ya uchokozi ,uoenezi wa Russia dhidi ya UKRAINE kosa la Zelenskiy au Ukraine ni lipi?

Kwanini msione kosa la Russia kwa kuvunja makubaliano ya Budapest Memorandum juu ya Urusi kupitia aliyekuwa Rais Boris kuitambua Ukraine kama nchi huru, mbona hamuoni kosa la Russia kuvamia Crimea 2014 na kujipa umiliki wa Black huku akizuia na kuteka meli za Ukraine zinazopita, mbona hamuoni kosa la Russia alivyochochea watu Donbas (Luhansk na Donetsk) kujitenga?

Mbona hamuoni kosa la Russia kuvunja makubaliano ya Minsk ll ya 2015 yanayokataza kujipanua na kuingiza majeshi hivyo kutaka (Withdrawal) Russia anaendelea kujipanua na kuingiza majeshi,mbona hamuoni kosa la Russia kuipiga Ukraine bila sababu yeyote? Anauwa watu ,anauwa watoto anawapa hasara Ukraine akiita Operation ya Kijeshi, Operesheni ya kijeshi? Raia wanauwawa,anaripua Maeneo ya Umma Hospitali, maeneo ya makazi ya watu alafu anaita Operesheni ya kijeshi ?

Mnaosema hii ni Operesheni ya kijeshi (Military Operation) muache mnakosea saana, hii sio Military Operation dhidi ya UKRAINE hii ni vita, hii ni "Massacre".

Military Operation au Surgical Strike,- Ni military strike yenye lengo la kuharibu Miundombinu ya kijeshi na kupiga katika maeneo maalumu ya kijeshi (Legitimate Milltary target ) without Collateral Damage (bila kusababisha vifo na majeraha hasa Raia, Civilians) au pia kutokupia karibu na maeneo ya makazi ya watu near by areas of civilians.

Anachofanya Putin, hii sio Military Operation tena sababu tumeona Civilians wakiuwawa ,Makazi ya watu na Hospital yakiharibiwa , Civilians wakiwa majeraha.

Unawezaje kusema hii ni Military Operation, Military Operation ni Jeshi kwa Jeshi ,hit on Millary base ,hit on Lethal and Non Lethat weapons usidhuru civilians wala Makazi yao .

HII YA PUTIN NI VITA isiyofuata sheria ya vita.

Vita ni intense Armed Conflict kati ya makundi kadhaa yenye uhasama .

Inaweza kuwa nchi na nchi au makundi ndani ya nchi.

Kuna aina 3 za vita.

1.International armed conflicts. (Those involving armed forces from two or more states (international armed conflicts).

2.Non-international armed conflicts (The War between groups,parties within a single state).

Ingawa wengine wameongeza na internationalized Armed Conflict.

Katika sheria za kimataifa kuna Sheria inayoongoza vita, Inaitwa JUS IN BELLO au LAW OF THE WAR au INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW .

Hii sheria inaelezea namna vita inavyopaswa kupiganwa , ili kuzuia Harm kwa Civilians na pande zote lazima waheshimu taratibu,sheria na kanuni hizi ,mfano hutakiwi kupiga Majengo ya makazi ya watu , Hospital ,shule au sehemu yeyote ya Civilians inaweza kutokea civilians kufa ila lazima proportionality kuzingatiwa ili kuzuia harm zaidi.

Lakini pia inaelezea zaidi kwamba kabla hujapigana unapaswa uwe na strong justification ya kupigana (Right to wage war ) huitwa JUS AD BELLUM yaani Criteria za kupigana vita ,kabla kuna paswa kuwe na njia zingine non- military methods zimechukuliwa ili kuzuia vita. Kama Diplomatic option, sanctions, known as last resort.

Kutokuzingatia hizi sheria na kanuni katika katika vita unakuwa imetenda kosa , "War Crime " hivyo kupaswa kushtakiwa ktk mahakama ya ICC.

Russia wanalisha Propaganda watu,ooh UKRAINE inatumika kuhifadhi wanajeshi wa NATO , sijui vifaa vya NATO vipo katika kambi za jeshi ndani ya Ukraine hii ni hujuma dhidi ya Usalama wa Russia! This is purely Propaganda.

Sio jambo la kushangaa wanajeshi wa NATO kuwepo katika kambi za Ukraine au kuwepo ndani ya nchi ya UKRAINE.

Nchi za Ulaya na Marekani tangu 1997 zimekuwa zikifanya mazoezi ya pamoja na hii sio kwa UKRAINE tuu, mwaka 1994 ,NATO ktk kikao Chao cha Brussels Summit waliidhinisha Program ya Partnership for Peace (PfP) kwa nchi zote za ulaya Mashariki hata Urusi ili kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaani the Joint Military Exercise na mwaka 1996 UKRAIN ilijunga.

Hivyo kila mwaka kuna program inaitwa Rapid Trident

Rapid Trident is the culminating event of
an annual training exercise to prepare Ukrainian Land Force units for the challenges of real
world situations and deployments.”

Lakini mmesahau kwamba UKRAINE ni Mwanachama wa Joint Multinational Training Group .

Sasa watu wanashangaa nini, NATO kuwepo UKRAIN ktk kambi ni kawaida na wanatoa mafunzo na sio kwa UKRAINE tuu ni kwa nchi nyingi pia ambazo ni member wa PfP.

Leo hii RUSSIA anauwa watu wasio na hatia ila kuna watu wanaona ni sawa tuu ,sababu vita hii wanaitazama katika jicho la Proxy War ,yaani vita kati ya Russia na Marekani pamoja na washirika wake kutoka nchi za Magharibi.Hawaangalii vita hii kama ni Uvamizi wa Russia dhidi ya nchi huru ya Ukraine ,dhidi ya wananchi wa Ukraine wasio na hatia.

Mtu sababu hampendi Marekani basi basi kwake anaona ndio sababu na uhalali wa yeye kuona Russia yupo sahihi ,No No No tupinge uonezo huu popote. Kam tulipinga uonezi huu Syria ,kama tulipinga uonezi huu Libya ,kama tulipinga uonezi huu Iraq ,kama tunapinga kila siku uonezi dhidi ya Wapalestina tuendelee kupinga uonezi huu dhidi ya Ukraine bila kujali nani anaonea na nani anaonewa .Tupinge uonezi na ukatili dhidi ya Mnyonge ,dhidi ya nchi yeyote inayoonewa .Mtupinge yeyote anaye onea awe Mrusi ,awe Marekani au nchi yeyote ya Ulaya au nchi yenye nguvu tupinge .Tumtetee anaye onewa siku zote .

Tusimame na UKRAINE. Nina Simama na UKRAINE.

Abdul Nondo.
Anachofanya Putin huko Ukraine ni upumbavu mkubwa Warusi watalipa fidia kubwa kwa ubabe wa dikteta mmoja tu. Ukraine hata isipojiunga NATO hao NATO wakiamua kushambulia Urusi wanaweza tu. Wana makombora na ndege yanayosafiri kilometa maelfu hawahitaji kituo Ukraine. Marekani ilivyomuondoa Saddam huko Kuwait sijui uarabuni kulikuwa na NATO!! Putin alaaniwe watz wana ushabiki wa simba na yanga kwenye roho za watu laana kubwa
 
Anachofanya Putin huko Ukraine ni upumbavu mkubwa Warusi watalipa fidia kubwa kwa ubabe wa dikteta mmoja tu. Ukraine hata isipojiunga NATO hao NATO wakiamua kushambulia Urusi wanaweza tu. Wana makombora na ndege yanayosafiri kilometa maelfu hawahitaji kituo Ukraine. Marekani ilivyomuondoa Saddam huko Kuwait sijui uarabuni kulikuwa na NATO!! Putin alaaniwe watz wana ushabiki wa simba na yanga kwenye roho za watu laana kubwa
UKREIN NA URUSI SI NDUGU ZAKO WEWE NI MTU MWEUSI. KWANINI UUMIE MOYO
 
Kijana umeandika maoni kwa mhemko mkubwa ukimpinga Putin. Ni ajabu inaonekana u msomi lakini u mgeni Sana wa siasa za kistratajia na kijeshi za Urusi ya Putin na Urusi ya Yeltsin.
Tofauti na Yeltsin , Putin Ni ultra nationalist ambae anaamini katika urusi yenye nguvu kubwa kijeshi na kiuchumi na Kwamba nchi ndogondogo za Balkan Ni Kama vimikoa tu vya New Great Russian empire. Hili pengine Ni kosa lakini...
Lakini pia nimeona andikoni umeandika kuhusu sovereignty ya nchi kama Ukraine lakini si kila nchi Ni sovereignty inapojaribu kuhatarisha usalama wa taifa kubwa lolote kubwa duniani Kama Russia ama either US, rejea oparesheni Kama Quban Missile crisis ,Iraq desert Storm nk
Hata sisi Leo watz itakapo tokea Kuna jirani ana siasa za kihasimu dhidi yetu kijeshi, eg Ni mkaribisha magaidi dhidi yetu bila Shaka tutamfuata kumdemilitarize
 
Sidhani kama ni hivyo.mimi nadhani inakua hivyo kwasababu ya udhaifu wa hayo maeneo.Mimi naamini kwa mfano zanzibar kingekua ni kisiwa kikubwa,imara kijeshi na kina uchumi mkubwa kuliko tanganyika hili jambo ulilolisema kamwe lisingetokea.Ata Ukraine imevamiwa na urusi kwasababu urusi ni kubwa na imara kuliko ukraine.ingekua kinyume chake isingekua hivyo ilivyo leo.Siku zote mnyonge ndiye anayetafutiwa sababu ya kunyongwa au kuonewa.Lakini ukizifwatilia kwa kina sababu zenyewe utagundua hazina mashiko zaidi ya kuoneana.
Mkuu angalia ramani ya Ukraine ndio utajua strategically ni potential kwa NATO na Russia kivita kama Golan heights
 
Back
Top Bottom