Wanaomsifu rais wanamharibu

Andika hivyo hivyo tena kama ulivyoandika kwa Mkapa, kuhusu MAGUFULI alivyopata URAIS.
Mlikosoa sana utendaji wa KIKWETE nini kilibadilika?
yeye ameandika jinsi Mkapa alivyopata urais.sasa
unasema aandike jinsi Magufuli alivyopata urais? kwani aliupataje?
 
Aliupata Kwa kura halali alizopigiwa na watanzania wengi, hivyo kushinda kwa kishindo
katika mada yake amezungumzia mchakato wa kumpitisha mgombea urais ndani ya ccm mwaka 1995 na sio kuwa amehoji uhalali wa kura zilivyopigwa kumpata Mkapa.
 
Sikuiona hii nikajikuta nimeianzisha. Ngoja niombe mods waiunge huku
 
Kichwa cha habari na habari yenyewe haviwiani. Naona mwandishi anatupa CV yake kuliko kutupa habari za kusifiwa kwa JPM na jinsi anavyoharibiwa. Nimeshangaa kufika mwisho wa post pasipo kusoma namna ya wanavyomwaribu hao wanaomsifia. Mwandishi ni bora abadiri kichwa cha habari hii!!

zaidi ya kutaja taja majina kibao mengi yasiyo na uhusiano na anachokiandika bandikoni huwa hakuna la zaidi kwenye badiko lake.. pengine tuite ni midadi ya kutaka kutuaminisha nakshi nakshi anazopenda kuzitia katika wasifu wake..
 
Luna mambo ya kumkosoa Magufuli, hilo Mimi ninalikubali. Ila hizi approaches zinazokosolewa binafsi nimeanza kuona zina faida kubwa sana kwa nchi. Hizo sheria na taratibu tulizojiwekea ndiyo strengths za hao wapigaji. Inabidi kuzikiuka tu kwa hivi sasa, kwa style atumiayo raid lakini si kwa namna afanyavyo Makonda
 
Aliupata Kwa kura halali alizopigiwa na watanzania wengi, hivyo kushinda kwa kishindo
Aliupata Kwa kura halali alizopigiwa na watanzania wengi, hivyo kushinda kwa kishindo
Una evidence? Tulikuwa tupate kutoka tallying za Kamati ya Haki za Binadamu mkaziangamiza! Twambie kusudio lilikuwa ni nini kuchoma jumulisho ya kura ili kudhibitisha ukweli wa namba zilizo somwa. Kama zilizosomwa sio zilizopigwa tutajuaje? Unajua ktk excel ukiandika .25,000 inakuandikia 0, ni kiasi gani kinaweza kupotezwa kwa kuweka nukta kila kabla ya idadi ya kura za mpinzani wako?
 
Una evidence? Tulikuwa tupate kutoka tallying za Kamati ya Haki za Binadamu mkaziangamiza! Twambie kusudio lilikuwa ni nini kuchoma jumulisho ya kura ili kudhibitisha ukweli wa namba zilizo somwa. Kama zilizosomwa sio zilizopigwa tutajuaje? Unajua ktk excel ukiandika .25,000 inakuandikia 0, ni kiasi gani kinaweza kupotezwa kwa kuweka nukta kila kabla ya idadi ya kura za mpinzani wako?
Hayo unayoongea ni mazungumzo baada ya habari. Kifupi mamlaka ya kutangaza matokeo yalikua ni ya NEC Chini ya chairman Judge LUBUVA alitangaza mshindi ni MAGUFULI na fahamu NEC inatambuliwa na katiba.
 
Mwandishi alikuwa sahihi kwa wakati ule..maana kuikuwa na facts naziona waziwazi..sina uhakika kwa uchambuzi wake kwa kipindi hiki hasa cha mpito..

Kikubwa tuepuke hii misamiati ya wanasiasa..inayolingana na hadithi ya zimwi..ukikuta kuna kelele nyingii ujue mazimwi wamelala lakini usiposikia makelele na kuna ukimya wa hali ya juu ujue mazimwi wako macho. Tahadhari tusidhani kelele ndio kuwashinda wakosaiji na furaha ndio kukosolewa na wakosoaji wetu. Lazima watawala wawe makini na kelele wasifanye maamuzi kwa kelele za Furaha au huzuni..
 
Kwa hiyo? ......Kafie mbele huko na mwanahabari huru. Hakuna uhuru wa kipuuzi hapa. Fankuuuuuuuro
 
Hayo unayoongea ni mazungumzo baada ya habari. Kifupi mamlaka ya kutangaza matokeo yalikua ni ya NEC Chini ya chairman Judge LUBUVA alitangaza mshindi ni MAGUFULI na fahamu NEC inatambuliwa na katiba.
Achana na mpuuzi huyo wale wafaransa na wakenya tuliwaweka wanyie ndoo. Ndio maana ndoto za kuingia Ikulu saa nne asubuhi ziliyeyuka. Hii ndiyo Tz hapana chezea
 
Back
Top Bottom