Wanaomkosoa Magufuli wako mtandaoni tu

Wanaomkosoa Magufuli wako mtandaoni tu

DIVISHENI FOO

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2023
Posts
2,202
Reaction score
4,739
Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.

Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.

Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.

Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.

Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!

Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea na kufanya janja janja.

Ahsante.
 
Huo usafi wa Magufuli ni UPI.by the way 80% ya watanzania ni wajinga-mtu mjinga hawezi ukimwambia 2 ni Z hawezi kukataa.Ukijumuisha na style ya Uongozi wa Magufuli wa kubinya uwazi wa Serikali lazima kila moja aseme Magufuli ni MTU poa.
Corona imeenda wapi?
 
Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.

Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.

Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.

Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.

Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!

Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea, kupiga madili na kufanya ujanja ujanja.

Ahsante.
Ina tegemea na cicle yako. Kwenye circle ya wafanyabiashara tuli drop bonge ya party tarehe 17 march 2021
 
Back
Top Bottom