Wanaomchafua Dkt. Harrison Mwakyembe waanza kusakwa

Wanaomchafua Dkt. Harrison Mwakyembe waanza kusakwa

Nani atamwajibisha mwenzake kama chama kupitia serikali kuu( hazina) imepata hati chafu, na chama chini ya mwenyekiti nayo imejaa ufisadi!
 
Kama SUKITA ni kufukua makaburi,basi na akina Mwakyembe wasiguswe,ndio Tanzania ya CCM,tumeizoea.
 
Kumekuwa na mjadala baada ya Kamati iliyoundwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa kuhakiki mali za chama. Mara baada ya kamati hiyo kuwasilisha ripoti yake mtu mmoja aliandika taarifa za kumhusisha Dk.Mwakyembe kwamba anahusika katika ufujaji wa mali za chama. Kimsingi taarifa hizo ni za upotoshaji na hivi sasa vyombo vinavyohusika na mambo ya uchunguzi vimeanza kuchunguza mtu au watu waliosambaza taarifa hiyo ya upotoshaji. Siku si nyingi atajulikana na hatua zitachukuliwa dhidi yake.
Kwani aliwahi kuwa msafi?
 
Mwakyembe ni msafi, sema anachafuliwa na fisadi ......sa, maana ana kinyongo tokea 2008

Inahitajika akili ya ziada kujua ilo

Huyu unayemtuhumu na ufisadi simkubali hata kidogo. Swali unalotaka ujiulize tangu 2008 hadi leo 2018 mnasubiri nini hamjampeleka mahakamani? Au ndio siasa za majitaka...ufisadi wa mfumo sio kafara mtu mmoja?

Hivi 1.5 maelezo yake yamejitosholeza?
 
Kumekuwa na mjadala baada ya Kamati iliyoundwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa kuhakiki mali za chama. Mara baada ya kamati hiyo kuwasilisha ripoti yake mtu mmoja aliandika taarifa za kumhusisha Dk.Mwakyembe kwamba anahusika katika ufujaji wa mali za chama. Kimsingi taarifa hizo ni za upotoshaji na hivi sasa vyombo vinavyohusika na mambo ya uchunguzi vimeanza kuchunguza mtu au watu waliosambaza taarifa hiyo ya upotoshaji. Siku si nyingi atajulikana na hatua zitachukuliwa dhidi yake.
Mwakyembe tulia
Shida ni nini kwani?
Nilikuangalia juzi kati unazungumza na waandishi wa habari maneno hayatoki vizuri kuna shida mahali
Zingatia afya yako kwanza haya mengine yapo tuuuuu
 
Quinine umeiona hiyo taarifa ya tume au ni zile tabia ZETU za kubuni mambo ?
 
Wameanza kutafuta upenyo wa kuchomokea.Wasubili vikao vya chama ndo tutajua mbivu na mbichi
 
Serikali ya Sasa imejaa watu wenye mentalities za kamata, funga! Vitisho kwa kwenda mbele! Mabavu kila leo, Hadi kwenye Mambo ya Kitaifa tunaanza kutishwa kufungwa! Tanzania Mungu tu aiponye!

sio kosa lao wamerithi kwa baba yao.
huwezi fanya lisilo mpendeza baba na akakaa kimyaa.
 
Back
Top Bottom