Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Habari za uhakika kutoka uongozi halali wa BAKWATA Arusha na Mufti Mkuu Dar, zinasema waliolaumu Chadema na kutambua Meya wa Arusha ni BAKWATA vuvuzela. Siyo viongozi halali wa BAKWATA, ni wahuni watoto wa familia moja ya mzee Mkindi ambao wamekula dili na ccm na polisi