God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
.........
ndugu yangu iyo coz umeumia ajira zake ni ishu, me nakushauri achana nayo tafuta kitu kingine cha kufanya, mm nimesoma iyo kitu mpaka sasaivi hali ni mbaya kwanagu nilimaliza 2008 mpaka sasaivi sina kazi wala kibarua cha iyo kitu
ndugu yangu iyo coz umeumia ajira zake ni ishu, me nakushauri achana nayo tafuta kitu kingine cha kufanya, mm nimesoma iyo kitu mpaka sasaivi hali ni mbaya kwanagu nilimaliza 2008 mpaka sasaivi sina kazi wala kibarua cha iyo kitu
daaa mungu tusaidie
ndugu yangu iyo coz umeumia ajira zake ni ishu, me nakushauri achana nayo tafuta kitu kingine cha kufanya, mm nimesoma iyo kitu mpaka sasaivi hali ni mbaya kwanagu nilimaliza 2008 mpaka sasaivi sina kazi wala kibarua cha iyo kitu
habari za asubuh ndugu zanguni nimechaguliwa hii coz ya computer science and software engineering chuo cha ruco sikutegemea lakin ndo ishakua hivo. nlikua naipa credit n dogo sana. but kwa mapenz ya mungu ntaiheshimu daima maana hapa sina jinsi nlikua napenda sana medical labaratory.
kinachoninyima usingiza ni upatikanaji wa ajira. jaman naomben mniambie ndugu zanguni upatikanaji wa ajira nisije kusugua mtaa. maana nampango nikasome tuu diploma ya clinical medicine form six yangu iwe ishapotea hivo.
msaada plz. vp ttcl?, makampuni ya simu na makampuni binafsi.
sina amani kabisa moyoni
Wewe unamshauri mwenzako asisome software engineering? Wewe upo dunia gani ndug yang, dunia sasa inahama kwenda kufanya kila kitu kuwa coded then unamshauri mwenzako asisome. Wewe kama umesoma software engineering then hauna kazi siyo sababu ya msingi kumkatisha mtu tamaa,pia kama umesoma software engineering then ukamaliza na GPA ya 2.2 who gonna employ you?
Umesoma software engineering unamaliza hata hujui ku create code ya anwani yako?wtf are talking about? Ukisoma software engineering usipoajiriwa u can code au kuomba tenda kwenye makampuni mbali mbali uwe unawaandalia softwares.
Mimi nasoma hii kitu(programming and cyber security) nipo UAH (university of Huntsville Alabama) kama jamaa anapenda kusoma software engineering anitafute pm I will give him software za visual studio and python.
Wewe unamshauri mwenzako asisome software engineering? Wewe upo dunia gani ndug yang, dunia sasa inahama kwenda kufanya kila kitu kuwa coded then unamshauri mwenzako asisome. Wewe kama umesoma software engineering then hauna kazi siyo sababu ya msingi kumkatisha mtu tamaa,pia kama umesoma software engineering then ukamaliza na GPA ya 2.2 who gonna employ you?
Umesoma software engineering unamaliza hata hujui ku create code ya anwani yako?wtf are talking about? Ukisoma software engineering usipoajiriwa u can code au kuomba tenda kwenye makampuni mbali mbali uwe unawaandalia softwares.
Mimi nasoma hii kitu(programming and cyber security) nipo UAH (university of Huntsville Alabama) kama jamaa anapenda kusoma software engineering anitafute pm I will give him software za visual studio and python.
Kaka sory naku-pm nina mazungumzo kidogo na ww sory
Mi nimeisoma coz hiyo... Km una passion na hiyo kitu, inalipa sanaa kabla hata ya ajira... Ila km huipend, utamaliza mwaka wa mwisho unajiona km hujasoma kitu... Course za computer science zinahitaj competence.. Not only g.p.a. coz ajira zake zipo practical zaid kuliko kukaa ofisin na kuandika andika.. Thats whats up!
Hahahahah nakuona brou Manchris Jbisd. Jamaa anaogopesha madogo hatari
ndugu yangu iyo coz umeumia ajira zake ni ishu, me nakushauri achana nayo tafuta kitu kingine cha kufanya, mm nimesoma iyo kitu mpaka sasaivi hali ni mbaya kwanagu nilimaliza 2008 mpaka sasaivi sina kazi wala kibarua cha iyo kitu