Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 495
Mimi ni mwalimu kitaaluma katika ufundishaji wa masomo ya Hisabati na Jiografia.
Kwa wanaotaka huduma ya kufundishwa au kufundishiwa watoto wao hapa Dar es Salaam, mimi ninatoa huduma hiyo.
Ninaweza kukufuata popote ulipo (Nyumbani kwako) ili upate huduma yangu, yenye ubora madhubuti.
Huduma hii ninaitoa kuanzia wanafunzi wa Shule ya msingi (Primary) hadi Sekondari.
Karibuni sana.
Kwa wanaotaka huduma ya kufundishwa au kufundishiwa watoto wao hapa Dar es Salaam, mimi ninatoa huduma hiyo.
Ninaweza kukufuata popote ulipo (Nyumbani kwako) ili upate huduma yangu, yenye ubora madhubuti.
Huduma hii ninaitoa kuanzia wanafunzi wa Shule ya msingi (Primary) hadi Sekondari.
Karibuni sana.