pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Umepiga hesabu za Kodi?Aisee nafanya hesabu kwa boxer za kiume naona wafanyabiashara wengi wanapata faida kwelikweli...
Umepiga hesabu za Kodi?Aisee nafanya hesabu kwa boxer za kiume naona wafanyabiashara wengi wanapata faida kwelikweli...
Hata mim nasubir jibu, natafta itel p32Umepiga hesabu za Kodi?
Nitafutie kimashine cha kusafishia taa za gariHello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
Boxer dozen moja zinakaa ngapi dada?Hello, Mimi naitwa Priscilla nipo China for studies
Pia ninafanya biashara ya kufungia mizigo wholesale buyers kupitia Instagram page @panda_sourcing @panda_sourcing
Bidhaa tofauti kwanzia nguo za watoto, nguo za watu wazima, underwears, shoes, handbags and accessories tofauti.
Machinery equipments
Stationery equipments
Furniture equipments za ofisini, salons, hotelini, nyumbani, n.k
Bidhaa bei inakuwa chini Mteja akichukua pieces nyingi au kuchukua bidhaa tofauti kwenye duka moja.
Mimi ninakupa bei ya jumla ya masokoni
Ninakufungia mzigo na kuupeleka warehouse for shipping.
You pay me a commission fee! Of which ni makubaliano yetu binafsi!
Anyone who is interested please contact me for more information kupitia
WhatsApp +8618857052304
Na pia pitia Instagram page yangu ninayotumia kupost bidhaa tofauti @panda_sourcing @panda_sourcing
Kariakoo chupi moja ni 5004000 kwa dozen moja??
Hata China hiyo bei hamna
Seriously speaking
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?
Mimi hizi hapa ni pure cotton zinakaa 12 nimechukua kwa elf 30, means 2500 kila mojaa,
Mimi hizi hapa ni pure cotton zinakaa 12 nimechukua kwa elf 30, means 2500 kila mojaa,
Mimi nikitoa hela yangu kununua kitu kwako ni kwamba umenishawish kweliiiView attachment 1021240View attachment 1021241
Chupi kwa bei hiyo kuiuza utachina manake wateja wengi wananunua za bei za chini hasa ikishakuwa ya mtoto bora walau watu wazima wananunua hata za 5000 mojaMimi hizi hapa ni pure cotton zinakaa 12 nimechukua kwa elf 30, means 2500 kila mojaa,
Mimi nikitoa hela yangu kununua kitu kwako ni kwamba umenishawish kweliiiView attachment 1021240View attachment 1021241
Hizi ni 9000 kamili.Hizi Vest mm nachukua kwenye machimbi ya ndani ndani 9500k, na hizi ndio quality huwezi linganisha hizi na polo, super n.k, na hata bei hutofautianaView attachment 1021242
@Hornet sijakuelewaa, jumla nachukua elf 30 zikiwa 12, reja reja nauza 4000k, unamaanisha hapo ni ngumu kuuza kulinganisha na quality zake?Chupi kwa bei hiyo kuiuza utachina manake wateja wengi wananunua za bei za chini hasa ikishakuwa ya mtoto bora walau watu wazima wananunua hata za 5000 moja
Blv m sio yarrison na kwa sasa? Wewe unazungumzia polo wanazofoji kuweka kwenye mifuko ya yarisoni, mwanzo walikua wanauza kwa 9000 ila sio sasa, nasema hivi kwa kuzunguka chimbo nying sanaaa,Hizi ni 9000 kamili.
Siwezi kubisha unaweza kuwa sahihi piaBlv m sio yarrison na kwa sasa? Wewe unazungumzia polo wanazofoji kuweka kwenye mifuko ya yarisoni, mwanzo walikua wanauza kwa 9000 ila sio sasa, nasema hivi kwa kuzunguka chimbo nying sanaaa,
Na pia kumbuka Polo zinafanana kbsa na yarrison, wamecopy kuanzia mifuko na pen ndani