Wanaohitaji bidhaa kutoka China kwa bei ya jumla.

Kbsaaa, mm sikutaka kumbishia sana maana kila mtu na mtazamo/maisha yake ila kweli chupi ya mia 500 kweli hali ni ngumu ila ni wachache sana wanazavaa tena kwa Dar,

La sivyo ukiivua kabla haijafka magotini ushapiga chafya km 14 hv za fasta fasta ukimaliza hapo ukatafte dawa ya Fluu

Chupi ya 500 ya wapi hiyo???
Chupi quality zinaanzia Tsh 1,500 hata za watoto! Na huwa zinadumu muda mrefu ni kuzingatia tuu usafi!!
Chupi za wakubwa zinaanzia Elfu 3000 kwa reja reja
Hapo chupi zangu zote ni zipo chini ya 1,000
That means hii biashara inalipa! Hata ukiuza jumla!!!
Mimi nakuletea bidhaa QUALITY kwa bei nzuri!!
Ni bora uchukue ya 1000 ukae nayo week au uchukue ya 2000 ukae nayo miezi mitatu
 
Naamini huwezi kuvaa chupi ya shilingi 500 au hata kumvalisha mwanao, kwa Joto hili la dar utapata fangus daily maana quality zake ni poor na sio cotton 100%, atlist chupi ya kuanzia sh 3000 na kuendelea ila sio ya 500

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante dear kwa ufafanuzi mzuri
Unaona ni cheap kumbe inakucost dawa za Candidiasis kila mwezi!!!
Cheap is always expensive
 
Kbsaaa, mm sikutaka kumbishia sana maana kila mtu na mtazamo/maisha yake ila kweli chupi ya mia 500 kweli hali ni ngumu ila ni wachache sana wanazavaa tena kwa Dar,

La sivyo ukiivua kabla haijafka magotini ushapiga chafya km 14 hv za fasta fasta ukimaliza hapo ukatafte dawa ya Fluu
Kumbe ulikuwa unaona tunabishana!

Swali langu lilikuwa jepesi tu kwa mleta mada!
Kuhusu variation ya bei pamoja na materials!
Nikampa mfano wa chupi zinazouzwa kariakoo!

Kama kawaida hapa tutajinadi wote tunanunua chupi za 3000
Zile zinazouzwa kuanzia gerezani mpaka Congo ni akina nani wananunua?

Wale wanaosimama wamejazana hata nafasi za kuchagua hazipo ni wa nje ya Tanzania!!

Chupi za 5000-10000 ndizo zenye wateja na ndiyo maana kila duka la jumla wamezijaza hizo.

Mleta mada kama anaaccept kuulizwa maswali bila kubagua wateja hilo ni swali muhimu kwa mtu anaehitaji kuingia kwenye soko jipya!

Akiona kuna watu fulani anaweza kuwajibu pia na wapo wasiostahili kujibiwa, namtakia biashara njema.
 
Hongera sana
Ila nimepiga hesabu hapo kwa chupi moja itakuja 750x12 =9000
Na kwa kariakoo zinauzwa kuanzia 5000 mpaka 8000 hivi,
Je hii tofauti ya bei inasababishwa na nini na zote zinatoka china?
Kuna namna ya kupata kwa price ya chini zaidi?
Kama mtaji wako ni mdogo ni bora ununulie hapa hapa, utofauti wa bei unatokana na mtaji, mwenye mtaji mkubwa anauziwa kwa bei rahisi sana kwa kuwa anachukua mzigo mkubwa tena ananunua kiwandani sio kwa wachuuzi, Mkifika sokoni yy atakuwa na faida kwa kuwa amenunua kwa bei ndogo
 
Back
Top Bottom