ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Niende straight kwenye point,huyu bibiye toka zamani anatamani sana ubunge na umaarufu
toka aliposhinda miss mwanza 2005 wazazi wake wakaja juu sababu ya uislamu akaachia akaingia c2c 2006 ,akahustle kijanja akaingia clouds na kufanikiwa kumkamata mikononi bwana ruge na kuzaa naye watoto wawili.
2010 alijaribu ubunge kupitia uvccm akaangauka vibaya kwa kupata kura tatu kwenye maoni ila kikazi na kimaisha aliimprove kwa msaada mkubwa wa bwana ruge ambaye sasa kisiasa hakumsaidia lolote haswa ukichukulia kipindi cha kikwete Ruge alikuwa na say kidogo siyo kama sasa hivi ambapo amekuwa kama kina sie kajamba nani(pia kulikuwa na fununu za Ruge kuahidi kuwasaidia mwana fa na niki wa pili kupata ubunge lakini ikashindikana)
Nafikiri bibiye alichungulia mbali,ndoa haoni,anaishia kugombana na ma baby mama wengine wa tht huku kampata kijana ambaye mara tunaambiwa ni mdogo wa mheshimiwa kasim majaliwa ,mara tunaambiwa alikuwa shamba boy wake ila all in all zamaradi yuko kwenye right channel ya kuupata ubunge hata wa viti maalumu 2020,huku waziri mkuu huku bashite.
Sasa nyie watangazaji wa clouds haswa mchomvu adamu uliyetukana kwenye post mjiulize dada anajiamini nini haliliiii kazi?
toka aliposhinda miss mwanza 2005 wazazi wake wakaja juu sababu ya uislamu akaachia akaingia c2c 2006 ,akahustle kijanja akaingia clouds na kufanikiwa kumkamata mikononi bwana ruge na kuzaa naye watoto wawili.
2010 alijaribu ubunge kupitia uvccm akaangauka vibaya kwa kupata kura tatu kwenye maoni ila kikazi na kimaisha aliimprove kwa msaada mkubwa wa bwana ruge ambaye sasa kisiasa hakumsaidia lolote haswa ukichukulia kipindi cha kikwete Ruge alikuwa na say kidogo siyo kama sasa hivi ambapo amekuwa kama kina sie kajamba nani(pia kulikuwa na fununu za Ruge kuahidi kuwasaidia mwana fa na niki wa pili kupata ubunge lakini ikashindikana)
Nafikiri bibiye alichungulia mbali,ndoa haoni,anaishia kugombana na ma baby mama wengine wa tht huku kampata kijana ambaye mara tunaambiwa ni mdogo wa mheshimiwa kasim majaliwa ,mara tunaambiwa alikuwa shamba boy wake ila all in all zamaradi yuko kwenye right channel ya kuupata ubunge hata wa viti maalumu 2020,huku waziri mkuu huku bashite.
Sasa nyie watangazaji wa clouds haswa mchomvu adamu uliyetukana kwenye post mjiulize dada anajiamini nini haliliiii kazi?