Mzawa yupi una maanisha?Mkuu niko na wewe kabisa, Mkuu wa Kaya anakosea ku deal na watu kama hawa tena haina haja ya kufanya siri na michezo ya kitoto. Kuna malalamiko sana kwenye kampuni kama za Mo kuwa kwenye uongozi hakuna wazawa na nakumbuka hata hapa JF nishawahi kusoma malalamiko kama hayo. Mkuu wa Kaya anatakiwa kutumia ubongo sio msuli.
Fact , tena wafanyakazi wa ndani wanawafulisha hadi nguo za ndani na wanawalipa 50000 kwa mwezi , huu unafiki ni mbaya sana , wanwapigisha mzigo siku nzima na hata wengine papuchi wanapiga tena kwa lazima *****Watekaji mna mambo, ili kuthibisha uhalali wenu,MBONA Dada wa Kazi weusi wenzetu mnawalipa kidogo,chuki na matajiri umfanya masikini kuzidi kuwa masikini
Umelazimishwa kufanya kazi?... nyie ndio weziMatajiri gani wanyonyaji tu hao, utamtumikishaje mtu mwezi mzima kwa 120,000?.
Hoja fikirishi sanaUzi mwingine tena kutoka kwa MTU anaye deal na matokeo badala ya chanzo cha matatizo, kutatua Tatizo, na hapo ndipo watu weusi tunafail vibaya linapokuja swala la kutatua matatizo yanayotuzunguka
Mkuu mtoa mada , Mo analipa mishahara midogo isiyo hata na tija , kutokana na kuwepo supply kubwa ya watu wasio na ajira ,
Serikali haiajiri watu wengi, sekta binafsi , ndo hizo zimebanwa na utitiri wa Kodi na masharti kibao , nyingi zinakufa au zinaamua kufungasha virago kuelekea kwenye nchi nafuu, kwa akili ya kawaida kabisa utategemea lundo la wakosa ajira liliopo atokee mtu alipe mishahara minono? , vipi kama mazingira ya wawekezaji au sekta binafsi yangeboreshwa , sekta binafsi ikaajiri kwa ufanisi , unadhan watu wangekwenda kufanya Kaz na kunyanyasika kwa Mo ?
Ongezea na wakiwapa mimba wanawafukuzaFact , tena wafanyakazi wa ndani wanawafulisha hadi nguo za ndani na wanawalipa 50000 kwa mwezi , huu unafiki ni mbaya sana , wanwapigisha mzigo siku nzima na hata wengine papuchi wanapiga tena kwa lazima *****
hatari tupuOngezea na wakiwapa mimba wanawafukuza
Ur claims cannot be substantiated... U jus wrote some empty words.... Bragging, some here say..Kufuatia tukio la hivi karibuni la mfanya biashara Mo Dewji kutekwa tumesikia watu wengi wakimuombea awe salama. Hiki ni kitendo cha kiungwana na nawasifu Watanzania kwa hilo.
Lakini, ukigeuza upande mwingine wa shilingi utagundua kwamba familia hii inaitumia hii nchi kama choo cha manispaa, wanafanya haja zao na kuondoka.
Kwanza nianze na suala la ajira. Watu wanasema kuwa familia ya Dewji inatoa ajira nyingi kwa Watanzania. Hilo ni sawa lakini wanatoa ajira si kwa kuwapenda Watanzania bali ni kwasababu inawabidi ili kazi zao ziende. Ukiangalia mazingira ya kazi na kipato cha Watanzania weusi wanaowafanyia kazi ni ya kusikitisha.
Kwa mfano, kuna mtu mmoja ambaye aliajiriwa na moja ya kampuni inayomilikiwa na familia ya Dewji alikuwa akiniambia ya kwamba walikuwa wakifanyishwa kazi kitumwa. Mshahara ulikuwa mdogo na maneno ya kejeli juu.
Familia hii na wenzao wanaoshabihiana kwa rangi moja pia walikuwa wanajipenyeza kwenye nafasi za kisiasa na kutumia pesa kwa wafanyakazi wa serikali ili kufanya mambo yao yaende.
Kwa kuhitimisha nasema kwamba mimi sio mshabiki wa Magufuli, kuna mambo mengi sana natofautiana nae lakini anakata mirija ya watu hawa namuunga mkono kwa hilo
Mzawa Mtanzania mweusi namaanisha….!!!!Mzawa yupi una maanisha?
Acha ujinga wako wewe , mashirika yote ya kiserikali yamefirisiwa na yalishindwa yote kujiendesha kutokana na incompétence na ufisadi wa ccm , sasa unasema walipewa so what ? , nani aliwapa ? , je walipewa bure ? , na kama serikali ilishindwa kutaendeleza wewe ulitaka yasiendelezwe au ? Na kama ni hivyo kwa nini sheria isitumike juwawajibisha kuliko uhuni wa kutekana ? Na point yako ya kitoto eti " tuliwapa mashamba wayaendeleze " serikali iliwaajiri wawafanyie kazi ya kuyaendeleza hayo mashamba ?Mtoa mada nakuunga mkono, rais anafanya maamuzi kwa kutumia taarifa nyingine za siri ambazo ata sisi hatuzijui, infact mali zao ni mali za umma tuliwapa ili waziendeleza , wanachofanya saivi ni kujilimbikizia mali badala ya kuinua watanzania.
Kufuatia tukio la hivi karibuni la mfanya biashara Mo Dewji kutekwa tumesikia watu wengi wakimuombea awe salama. Hiki ni kitendo cha kiungwana na nawasifu Watanzania kwa hilo.
Lakini, ukigeuza upande mwingine wa shilingi utagundua kwamba familia hii inaitumia hii nchi kama choo cha manispaa, wanafanya haja zao na kuondoka.
Kwanza nianze na suala la ajira. Watu wanasema kuwa familia ya Dewji inatoa ajira nyingi kwa Watanzania. Hilo ni sawa lakini wanatoa ajira si kwa kuwapenda Watanzania bali ni kwasababu inawabidi ili kazi zao ziende. Ukiangalia mazingira ya kazi na kipato cha Watanzania weusi wanaowafanyia kazi ni ya kusikitisha.
Kwa mfano, kuna mtu mmoja ambaye aliajiriwa na moja ya kampuni inayomilikiwa na familia ya Dewji alikuwa akiniambia ya kwamba walikuwa wakifanyishwa kazi kitumwa. Mshahara ulikuwa mdogo na maneno ya kejeli juu.
Familia hii na wenzao wanaoshabihiana kwa rangi moja pia walikuwa wanajipenyeza kwenye nafasi za kisiasa na kutumia pesa kwa wafanyakazi wa serikali ili kufanya mambo yao yaende.
Kwa kuhitimisha nasema kwamba mimi sio mshabiki wa Magufuli, kuna mambo mengi sana natofautiana nae lakini anakata mirija ya watu hawa namuunga mkono kwa hilo
Exactly, njia anazotumia sisonje zinamuweka pembeni kabisa na kuwa dictator of the century. Definitely wahindi, capitalists for that matter ni wanyonyaji, tena ile tunaita absolute impoverishment. But we need to follow legal means to deal with these people and not brutality as it is done now by sisonje!
Watanzania makini watakuelewa,lakini mtanzania wa kawaida msubiri kilo ya unga kutoka kwa Dewji atakuona wewe ni gaidi kabisa."Bwana" katekwa halafu wewe unashabikia!Mimi nakuunga mkono 100%,hawa jamaa ni wezi na wahujumu uchumi,kwa hiyo ipo haja ya kuwashuhulikia.Binafsi sijawahi kuona Mhindi muaminifu,na akina Dewji are not any different.It is better without them.Kufuatia tukio la hivi karibuni la mfanya biashara Mo Dewji kutekwa tumesikia watu wengi wakimuombea awe salama. Hiki ni kitendo cha kiungwana na nawasifu Watanzania kwa hilo.
Lakini, ukigeuza upande mwingine wa shilingi utagundua kwamba familia hii inaitumia hii nchi kama choo cha manispaa, wanafanya haja zao na kuondoka.
Kwanza nianze na suala la ajira. Watu wanasema kuwa familia ya Dewji inatoa ajira nyingi kwa Watanzania. Hilo ni sawa lakini wanatoa ajira si kwa kuwapenda Watanzania bali ni kwasababu inawabidi ili kazi zao ziende. Ukiangalia mazingira ya kazi na kipato cha Watanzania weusi wanaowafanyia kazi ni ya kusikitisha.
Kwa mfano, kuna mtu mmoja ambaye aliajiriwa na moja ya kampuni inayomilikiwa na familia ya Dewji alikuwa akiniambia ya kwamba walikuwa wakifanyishwa kazi kitumwa. Mshahara ulikuwa mdogo na maneno ya kejeli juu.
Familia hii na wenzao wanaoshabihiana kwa rangi moja pia walikuwa wanajipenyeza kwenye nafasi za kisiasa na kutumia pesa kwa wafanyakazi wa serikali ili kufanya mambo yao yaende.
Kwa kuhitimisha nasema kwamba mimi sio mshabiki wa Magufuli, kuna mambo mengi sana natofautiana nae lakini anakata mirija ya watu hawa namuunga mkono kwa hilo
Kuna wakati mfanyakazi wa kike (miaka ya nyuma kidogo jina silikumbuki) ITV alikufa ikaja kujulikana kuwa hata mkataba wa kazi hakuwa nao, alikuwa anafanya utangazaji kama kibarua. Hivyo ndiyo capitalist mode of production, profit maximizationSio tu kwa wahindi kuwanyonya watanzania
nimebatika kwenda India na kukaa miezi 6 ilinitosha kujua tabia zao
wao wanatumikishana hata wao kwa wao kuna wahindi wekundu ni masikni wa kutupwa na omba omba
na wafanyishwa kazi sana sana tena kwa ujira wa dollar 2 kwa siku ni upuuzi
ubaguzi ni asili ila hata watu weusi hawalipi vizuri fatilia Dangote
mzungu tu ndiye namwamini kwa kulipa.
Ulaya kuna sheria, kama huwezi kumlipa mtu usimwajiri. Sasa na njaa za weusi sis, ......unafanyaje, unakubali hivyo hivyo. Unauza sura (wanawake) unapata washikaji maisha yanaenda.Kuna wakati mfanyakazi wa kike (miaka ya nyuma kidogo jina silikumbuki) ITV alikufa ikaja kujulikana kuwa hata mkataba wa kazi hakuwa nao, alikuwa anafanya utangazaji kama kibarua. Hivyo ndiyo capitalist mode of production, profit maximization
Hapana; alipewa mkataba wakati anaumwa...namkumbuka hadi jina yule mdada(R.I.P). Haipendezi kumtaja hapa.Kuna wakati mfanyakazi wa kike (miaka ya nyuma kidogo jina silikumbuki) ITV alikufa ikaja kujulikana kuwa hata mkataba wa kazi hakuwa nao, alikuwa anafanya utangazaji kama kibarua. Hivyo ndiyo capitalist mode of production, profit maximization
Mo ni mwekezaji kama wawekezaji wengine.Sitegemei unga wake wala maji yake kuishi, but KWELI HUMUWEKA MTU HURU. Hii nchi ni yetu, na kuna sheria zipo za uwekezaji na masuala mengine kadha wa kadha. Sasa tujiulize, kama kuna taratibu amezikiuka kwenye kazi zake, sheria imefanya nini au imekaa kimya? Anyway, kama ni mhujumu uchumi, amewezaje kwenda kufanya kazi Rwanda, South Africa,Botswana, Ethiopia na kwingineko?Watanzania makini watakuelewa,lakini mtanzania wa kawaida msubiri kilo ya unga kutoka kwa Dewji atakuona wewe ni gaidi kabisa."Bwana" katekwa halafu wewe unashabikia!Mimi nakuunga mkono 100%,hawa jamaa ni wezi na wahujumu uchumi,kwa hiyo ipo haja ya kuwashuhulikia.Binafsi sijawahi kuona Mhindi muaminifu,na akina Dewji are not any different.It is better without them.
Was it proper kumpa mkataba wakati anaumwa. Kabla hujaanza kazi inabidi uwe umesaini mkataba tayari. Nimemsahau jina ningelimtaja maana hata marehemu wanatajwa, hakuna kosa au kuvunja maadili!Hapana; alipewa mkataba wakati anaumwa...namkumbuka hadi jina yule mdada(R.I.P). Haipendezi kumtaja hapa.