Wanao Msifu Katoa Fedha Nyingi

Wanao Msifu Katoa Fedha Nyingi

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,202
Reaction score
11,351
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.

Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.

Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?

Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
 
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.

Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.

Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?

Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
Kwanza anazitoa au tunatoa, basi asitutoze kodi kama yeye anazo, ni kodi zetu, alitakiwa kuona aibu kusifiwa kwa kitu ambacho siyo.

Wanaosema ametoa ni wale anaowapa wakazifuje kwa jina la kula kwa urefu wa kamba, kila Ijumaa na Jumatatu unawakuta pale Msolwa Chalinze
 
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.

Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.

Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?

Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.

Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.

Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?

Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
pesa ni za wananchi walipa kodi na madeni.ila wale wajinga wa ccm na uvccm utasikia pochi la mama.
hii nchi siku shetani akija anaweza kutukataa sababu mtasema kwa hisani ya raisi
 
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.

Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu rais Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.

Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?

Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
Siku mkitambua mkamuliwapo maziwa yenu yanauzwa wapi, na nani anayatumia mtaamka.
La sivyo endeleeni kukamuliwa tu na wanaojua kuyatumia maziwa yenu.
 
Back
Top Bottom