JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 8,202
- 11,351
Hii nchi bado inahitaji kilanja wa zamu.
Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.
Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?
Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.
Haiwezekani watu wanataja mabilioni ya pesa huku wakimsifu raisi Katoa hizo fedha, wakati huohuo huku mtaani anaonekana hajafanya kitu.
Hizo fedha anazotoa nyingi kuliko kipindi chochote wanapeleka wapi?
Maneno kama kula kwa Urefu wa kwamba na kulamba asali yatakuwa Yana nafasi kubwa katika hili.