Wanangu ngojeni niwape hili....

Wanangu ngojeni niwape hili....

Ba Bii

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
204
Reaction score
160
Baada ya kuhangaika sana kwa mda mrefu kutafuta kazi jana nilipigiwa cm na shirika la Reli(TRC) kuwa nahitajika nifike ofcn kwao Mkoani Arusha.
Kwa mbwembwe na bashasha nikafika ofxn kwao nikiwa nimechomekea vzr sana.

Steshen MASTER akaniambia ww utakuwa upande wa mizigo yaani kupokea mizigo na kusimamia upimaji na kupakia kwenye GARI MOSHI. Ila utakuwa unajitolea wewe na wenzako mpaka hapo tutakapowaona munaweza kufanya kazi ndio tutaongea kuhusu mikataba..

Kwa mzigo niliopiga leo na degree yangu kichwani hadi nilijiona kama nimejidharau. kwa ushauri wenu niendelee au nisiendelee na hii kazi maana hata posho some time tunaweza tusipate na hata leo hatujapata et tunajitolea.....! Je kweli huu ni ungwana?
 
Baada ya kuhangaika sana kwa mda mrefu kutafuta kazi jana nilipigiwa cm na shirika la Reli(TRC) kuwa nahitajika nifike ofcn kwao Mkoani Arusha.
Kwa mbwembwe na bashasha nikafika ofxn kwao nikiwa nimechomekea vzr sana.

Steshen MASTER akaniambia ww utakuwa upande wa mizigo yaani kupokea mizigo na kusimamia upimaji na kupakia kwenye GARI MOSHI. Ila utakuwa unajitolea wewe na wenzako mpaka hapo tutakapowaona munaweza kufanya kazi ndio tutaongea kuhusu mikataba..

Kwa mzigo niliopiga leo na degree yangu kichwani hadi nilijiona kama nimejidharau. kwa ushauri wenu niendelee au nisiendelee na hii kazi maana hata posho some time tunaweza tusipate na hata leo hatujapata et tunajitolea.....! Je kweli huu ni ungwana?
Hujasema wamekuita kutokea mkoa gani yaani kwenu ni mkoa gani?Ukiacha hiyo posho wanatoa vitu gani vingine chakula,pa kulala wamekupa?kwa sasa hivi unaishi kwa nani wakati unaenda kazini?Kabla hatujakujibu hoja yako elezea kwanza haya maswali halafu tukushauri kwa busara zaidi
 
Iyo ni gambling, kwa mfano usipo perform vizuri ukawa ujapewa mkataba au ,Au ukapiga kazi siku ya mkataba wanakuja wengine wanaingia free ,au nafasi yako ikauzwa na wengine wakapewa mkataba na wewe ukaambiwa tumeona haufanyi vizuri
 
Baada ya kuhangaika sana kwa mda mrefu kutafuta kazi jana nilipigiwa cm na shirika la Reli(TRC) kuwa nahitajika nifike ofcn kwao Mkoani Arusha.
Kwa mbwembwe na bashasha nikafika ofxn kwao nikiwa nimechomekea vzr sana.

Steshen MASTER akaniambia ww utakuwa upande wa mizigo yaani kupokea mizigo na kusimamia upimaji na kupakia kwenye GARI MOSHI. Ila utakuwa unajitolea wewe na wenzako mpaka hapo tutakapowaona munaweza kufanya kazi ndio tutaongea kuhusu mikataba..

Kwa mzigo niliopiga leo na degree yangu kichwani hadi nilijiona kama nimejidharau. kwa ushauri wenu niendelee au nisiendelee na hii kazi maana hata posho some time tunaweza tusipate na hata leo hatujapata et tunajitolea.....! Je kweli huu ni ungwana?
Sasa mwanangu, unakuja kuandika huku ili iweje? wenzio wanatafuta kazi umepata bahati ya kufanya kazi na tuliongea vizuri ukanidithia namna ulivyotoka kwenye familia duni. Haya basi tukutane jumatatu.
 
Baada ya kuhangaika sana kwa mda mrefu kutafuta kazi jana nilipigiwa cm na shirika la Reli(TRC) kuwa nahitajika nifike ofcn kwao Mkoani Arusha.
Kwa mbwembwe na bashasha nikafika ofxn kwao nikiwa nimechomekea vzr sana.

Steshen MASTER akaniambia ww utakuwa upande wa mizigo yaani kupokea mizigo na kusimamia upimaji na kupakia kwenye GARI MOSHI. Ila utakuwa unajitolea wewe na wenzako mpaka hapo tutakapowaona munaweza kufanya kazi ndio tutaongea kuhusu mikataba..

Kwa mzigo niliopiga leo na degree yangu kichwani hadi nilijiona kama nimejidharau. kwa ushauri wenu niendelee au nisiendelee na hii kazi maana hata posho some time tunaweza tusipate na hata leo hatujapata et tunajitolea.....! Je kweli huu ni ungwana?
Maliza week 2 usome upepo,
 
Hujasema wamekuita kutokea mkoa gani yaani kwenu ni mkoa gani?Ukiacha hiyo posho wanatoa vitu gani vingine chakula,pa kulala wamekupa?kwa sasa hivi unaishi kwa nani wakati unaenda kazini?Kabla hatujakujibu hoja yako elezea kwanza haya maswali halafu tukushauri kwa busara zaidi
OK. Mm ninatokea hapa Arusha japokuwa kufika hapa Relini ni kama 800, go & return. Kuhusu kula mchana ni ww mwenyewe. Yaan kwa ufupi nipo home maisha yanaenda kibishi tu.
 
OK. Mm ninatokea hapa Arusha japokuwa kufika hapa Relini ni kama 800, go & return. Kuhusu kula mchana ni ww mwenyewe. Yaan kwa ufupi nipo home maisha yanaenda kibishi tu.
Yaan kwa ufupi hakuna utakachopewa isipokuwa ck uongozi ukijisikia watakupa posho kidogo. Ila c kwa huu mzigo unaopigika.
 
Sawa. Nawashuruni nyote kwa ujumla kwa shauri zenu nzuri sana. Kwa kuwa sina cha kufanya kwa sasa ngoja niendelee nao then kama ikitokea nimepata cha kufanya nitaachana nao.
Ndio hvyo bora ukomae hapo kuliko kukaa nyumbani.
Katika haya maisha usione kuna watu wamefanikiwa walianzia mbali sana ukifuatilia historia zao.
Hakuna mafanikio yanayokuja kirahisi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]JF bhana
Sasa mwanangu, unakuja kuandika huku ili iweje? wenzio wanatafuta kazi umepata bahati ya kufanya kazi na tuliongea vizuri ukanidithia namna ulivyotoka kwenye familia duni. Haya basi tukutane jumatatu.
 
Kwa maelezo yako ni bora ungeingia zako stendi kubwa pale basi za mkoani ukawa agent mkusanya wasafiri per day ingekuwa si chini ya 20K
 
Baada ya kuhangaika sana kwa mda mrefu kutafuta kazi jana nilipigiwa cm na shirika la Reli(TRC) kuwa nahitajika nifike ofcn kwao Mkoani Arusha.
Kwa mbwembwe na bashasha nikafika ofxn kwao nikiwa nimechomekea vzr sana.

Steshen MASTER akaniambia ww utakuwa upande wa mizigo yaani kupokea mizigo na kusimamia upimaji na kupakia kwenye GARI MOSHI. Ila utakuwa unajitolea wewe na wenzako mpaka hapo tutakapowaona munaweza kufanya kazi ndio tutaongea kuhusu mikataba..

Kwa mzigo niliopiga leo na degree yangu kichwani hadi nilijiona kama nimejidharau. kwa ushauri wenu niendelee au nisiendelee na hii kazi maana hata posho some time tunaweza tusipate na hata leo hatujapata et tunajitolea.....! Je kweli huu ni ungwana?
Ajira zikitoka zinapitia utumishi ukiwa hapo sio lazima uajiriwe hapo ila endelea kupambana usiache
 
Ajira zikitoka zinapitia utumishi ukiwa hapo sio lazima uajiriwe hapo ila endelea kupambana usiache
Sawa wanangu. Ngoja niipe target ya miezi kadhaa then nikifanikiwa ndani ya hiyo target yangu ikijitokeza in between nitapita hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom