Wanangu na nyie mtazaa tu

Wanangu na nyie mtazaa tu

Juzi hapa nilichelewa kuamka ile halaka halaka Asbh nikasahau kumuwekea juice kwenye contena lake la msosi jioni kurudi ananisomea kesi Baba ww una Roho mbaya ujaniwekea juice na chakula chako mie sijala leo kufungua contena kweli lipo vile vile na msosi wake...
 
Juzi hapa nilichelewa kuamka ile halaka halaka Asbh nikasahau kumuwekea juice kwenye contena lake la msosi jioni kurudi ananisomea kesi Baba ww una Roho mbaya ujaniwekea juice na chakula chako mie sijala leo kufungua contena kweli lipo vile vile na msosi wake...
Hahahaha
 
umenifundisha jambo kubwa sana, namtumia pesa mzee hata asante hatoi, nilichojifunza ni kuendelea kutuma tu. siongei naye sana naweza kata miezi hata mi3.

Naona hekima ya chapisho lako, Mzee amebaki yeye mkewe aliishakwenda mbinguni.
Analyse lkn naona ninacokifanya kama nafanya alivyomfanyie babu, yaani babake baba
 
umenifundisha jambo kubwa sana, namtumia pesa mzee hata asante hatoi, nilichojifunza ni kuendelea kutuma tu. siongei naye sana naweza kata miezi hata mi3.

Naona hekima ya chapisho lako, Mzee amebaki yeye mkewe aliishakwenda mbinguni.
Analyse lkn naona ninacokifanya kama nafanya alivyomfanyie babu, yaani babake baba
Mpe support mzee wako kadri uwezavyo mkuu. Maisha ndio haya haya.
 
pole sana mkuu. ninachoshukuru ni kwamba mlifanya makosa na mkamkwaza.

mama yangu mimi alikuwa anatamka laana tu hata km umekosea kitu cha kitoto kabisa.
anatunyima chakula,
kipigo tena uchi wa mnyama.
miaka inakatika chakula ni ugali na mchicha..ila yeye bia kwa sana... yani mama yako mzazi anakuchukia saaana! bila kosa. RIP mama I love you.
Pole sana
 
Nimeumia sana sana sanaaa. Halafu ukafanyaje?? Kweli Pumbavu weweeee.
Mimi nimecheka sana, nikifikiria kijisauti cha mtoto, mawazo ya mtoto, nini kimempelekea kusema vile!
 
Wakati dingi anatwambia hii kauli mimi na mdogo wangu, hapo alikuwa amevimba kwa hasira akiwa hana cha kufanya.

Nakumbuka enzi hizo na mdogo wangu, mimi nikiwa kidato cha nne, mdogo wangu akiwa cha 3. Tulikuwa watundu japo sio watukutu. Kuna siku tuliondoka home bila kuaga, alaf kuna kazi tuliambiwa na mshua tuifanye ila tukasahau.

Tulirejea nyumbani majira ya saa kumi na moja kosoro jioni, njaa kali hatukuwa tumekula kitu tokea asubuhi. Kufika home, mzee alitugombeza sana, alafu akasema kwavile tumeona tumeshakua basi hataki tena kutuona nyumbani, akatusukumizia nje kisha akafunga mlango. (Hapo kumbuka tuna njaa ya hatari na home hawakutuwekea chakula siku hiyo).

Tulikaa pale nje, njaa kali. Nyumba yetu ilikuwa imezungukwa na midizi, na uzuri kulikuwa na ndizi mbivu zimeiva, faza alisema angezitoa jioni. Tulipoona mkungu bado upo, tukakubaliana na dogo tule zile ndizi. Dogo akaenda kufunga ule ule mlango ambao baba alitufungia kwa ndani, dogo akaufunga kwa nje ili kumdhibiti mzee endapo atataka kutoka.

Tulijitahidi sana kuukata taratibu ule mgomba walau usitoe kishindo chochote, ila dingi kwavile alizijua akili zetu, naona machale yakamcheza, ghafla akaja. Kufika mlango anakuta mlango umefungwa kwa nje, kuja kuchungulia kwenye dirisha la jikoni anatukuta vidume tunaushambulia ule mkungu bila wasiwasi.

Alitwangalia pale dirishani, mwishowe akatwambia "Na nyie mtazaa tu"

Siku ikaisha, miaka mingi ikasogea. Sasa hivi nina mtoto wa kiume mkubwa tu, umri miaka 5 anaishi kwa babu na bibi yake (wazazi wangu). Kwavile mimi niko mbali, huwa nina kawaida ya kumpigia simu na kuongea nae mara kwa mara.

Last week nimekaa sehemu na rafiki zangu, nikaona ngoja nimpigie baba ili niongee na mwanangu, nikaongea nae vizuri tu huku nikijaribu kumuuliza mambo kadhaa kadhaa ya shule. Katika kuendelea kuuliza, ghafla dogo akaniambia "BABA UNAMASWALI SANA , PUMBAVU WEE" kasauti kake kalisikika na wote waliokuwa karibu na mimi pale, na upande wa pili nikasikia bibi yake anakachapa. Nikakata simu.

Baadae faza akanipigia simu, akaniambia "mwanangu nilikwambia na wewe utazaa tu". Sikumjibu,nilikaa kimya tu, then tukaendelea na story zingine.

Dah, haya mambo aisee.

Analyse.
'Watundu japo si watukutu'. Pata mtazamo wa wazee wako ndio ujijue ulikuwa mtoto wa aina gani.
 
pole sana mkuu. ninachoshukuru ni kwamba mlifanya makosa na mkamkwaza.

mama yangu mimi alikuwa anatamka laana tu hata km umekosea kitu cha kitoto kabisa.
anatunyima chakula,
kipigo tena uchi wa mnyama.
miaka inakatika chakula ni ugali na mchicha..ila yeye bia kwa sana... yani mama yako mzazi anakuchukia saaana! bila kosa. RIP mama I love you.
Poleni! Inaelekea mama yenu alijutia kuwa nanyi.
 
We baba una maswali ya kipumbavu hadi mtoto anajua😂😂
 
Wakati dingi anatwambia hii kauli mimi na mdogo wangu, hapo alikuwa amevimba kwa hasira akiwa hana cha kufanya.

Nakumbuka enzi hizo na mdogo wangu, mimi nikiwa kidato cha nne, mdogo wangu akiwa cha 3. Tulikuwa watundu japo sio watukutu. Kuna siku tuliondoka home bila kuaga, alaf kuna kazi tuliambiwa na mshua tuifanye ila tukasahau.

Tulirejea nyumbani majira ya saa kumi na moja kosoro jioni, njaa kali hatukuwa tumekula kitu tokea asubuhi. Kufika home, mzee alitugombeza sana, alafu akasema kwavile tumeona tumeshakua basi hataki tena kutuona nyumbani, akatusukumizia nje kisha akafunga mlango. (Hapo kumbuka tuna njaa ya hatari na home hawakutuwekea chakula siku hiyo).

Tulikaa pale nje, njaa kali. Nyumba yetu ilikuwa imezungukwa na midizi, na uzuri kulikuwa na ndizi mbivu zimeiva, faza alisema angezitoa jioni. Tulipoona mkungu bado upo, tukakubaliana na dogo tule zile ndizi. Dogo akaenda kufunga ule ule mlango ambao baba alitufungia kwa ndani, dogo akaufunga kwa nje ili kumdhibiti mzee endapo atataka kutoka.

Tulijitahidi sana kuukata taratibu ule mgomba walau usitoe kishindo chochote, ila dingi kwavile alizijua akili zetu, naona machale yakamcheza, ghafla akaja. Kufika mlango anakuta mlango umefungwa kwa nje, kuja kuchungulia kwenye dirisha la jikoni anatukuta vidume tunaushambulia ule mkungu bila wasiwasi.

Alitwangalia pale dirishani, mwishowe akatwambia "Na nyie mtazaa tu"

Siku ikaisha, miaka mingi ikasogea. Sasa hivi nina mtoto wa kiume mkubwa tu, umri miaka 5 anaishi kwa babu na bibi yake (wazazi wangu). Kwavile mimi niko mbali, huwa nina kawaida ya kumpigia simu na kuongea nae mara kwa mara.

Last week nimekaa sehemu na rafiki zangu, nikaona ngoja nimpigie baba ili niongee na mwanangu, nikaongea nae vizuri tu huku nikijaribu kumuuliza mambo kadhaa kadhaa ya shule. Katika kuendelea kuuliza, ghafla dogo akaniambia "BABA UNAMASWALI SANA , PUMBAVU WEE" kasauti kake kalisikika na wote waliokuwa karibu na mimi pale, na upande wa pili nikasikia bibi yake anakachapa. Nikakata simu.

Baadae faza akanipigia simu, akaniambia "mwanangu nilikwambia na wewe utazaa tu". Sikumjibu,nilikaa kimya tu, then tukaendelea na story zingine.

Dah, haya mambo aisee.

Analyse.
Pole sana, kwa nini usifanye mpango umchukue mtoto wako, malezi mazuri ya mtoto ni kutoka kwa mzazi wake, simaanishi kwamba wazazi wako sio wazazi wazueri ila you need to experience that parentalhood na kujenga bond na mtoto wako
 
Mtoto wa miaka mitano (5) ndo unasema una mtoto 'mkubwa' tu, una ujinga mwingi sana…. kweli PUMBAVU wewe.
 
Back
Top Bottom