Wanangu na nyie mtazaa tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana mkuu inauma kwakweli unaeza piga mtoto kama si wako vile
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kwa hiyo aliacha kabisa tabia ya kujibu vibaya?
We acha msoto wa miezi sita na hata vimchepuko vilivyokuwa vinampa jeuri vikamkimbia! Mama yake kwa vile alikuwa soja alimkomesha kweli kweli mpaka kuomba msamaha! Unajua usingo maza unahitaji mtu aliye Tafu. Sasa ana adabu na yupo mwaka wa mwisho na GPA nzuri tu
 
[emoji38][emoji38]daaah
Kweli raha ya ngoma uingie ucheze.
Baba ako alikasirika sana siku hio, maana malipo umeyapata mapema sana
 
pole sana mkuu. ninachoshukuru ni kwamba mlifanya makosa na mkamkwaza.

mama yangu mimi alikuwa anatamka laana tu hata km umekosea kitu cha kitoto kabisa.
anatunyima chakula,
kipigo tena uchi wa mnyama.
miaka inakatika chakula ni ugali na mchicha..ila yeye bia kwa sana... yani mama yako mzazi anakuchukia saaana! bila kosa. RIP mama I love you.
 
Hahahahahhaaaa nimecheka kisa chenu na mdogo wako,hasa hapo mlipopata guts za kufunga mlango kwa nje.

Mdogo wako nae ana mtoto?

Jaribu kupata watoto wengine watapunguza makali ya utundu wa mtoto wa kwanza.

Out of Topic: sijui kwa nini nikikuona namkumbuka TIZED.

Kasie.
 
NA WEWE LISTORY REEFU PMBV WE.


Joke [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi niliwaambiwa wadogo zangu wa kiume kuwa kina siku nao wataoa...

Mimi ni mkubwa kwetu na katika hao madogo, niliwasomesha kwa hela yangu. Na wakawa wanakuja home lakini malalamiko na shemeji yao yakawa ndo wimbo wa taifa. Walipoanza kuoa mmoja baada ya mwingine nikawaambia sasa mnao, YAKUMBUKENI MALALAMIKO YENU YA ZAMANI.... walirudi kuja kusema kweli kuoa ni KIPAJI
 
Pole mkuu

Nimejaribu kuvaa uhusika wa mtoto wangu kuniambia pumbavu nimefeel maumivu...pole sana
Hivi ni mm peke yangu ambae huwa nadhaniaga ww ni Me, maana kila nikiiiona avatar yako na hilo jina huwa sishtukagi....haha

Uskute hapo we ni mlimbwende mkareeeee hatari
 
Kwanini mwanao anaishi kwa babu yake, ama unampa mzee kazi mara mbili
 
Tuliwahi ambiwa mimi na kaka yangu hatutalala ndani kwa kuwa tulitoka shuleni hatukufanya kazi nikiwa darasa la 5 na kaka la 6 kweli bi mkubwa kama saa tatu tunamuaga tunaenda kulala akasema mnadhani nimesahau? tokeni nje akatufungia nje ilikua kama saa 4 kasoro hivi. Tukafungua zetu banda la kuku, kwa kijijini enzi hizo mlango wa banda ulikua panawekwa tu jiwe kubwa mradi tu mbwa asiweze ingia ndani, baada ya kama nusu saa akafungua mlango akaanza kututafuta tena ameita wee sisi kimya na tunamsikia vizuri. Alipokwenda kwa jirani na sisi tukatoka bandani na kuingia chumbani tukalala, aliporudi anakuta tupo ndani tukaambiwa ngoja kukuche atatuchapa ila hakuna kilichotokea. I love you mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…