Wanandoa wengi wamechokana

muzi

JF-Expert Member
Jun 17, 2016
1,038
1,448
Katika pita pita kwa marafiki ofisini asilimia kubwa ya story za mapenzi ofisini ni wanandoa kukosa hisia za mapenzi. Kuna shoga mmoja alisimulia kuwa mmeo amelala naye mwezi mzima walikutana siku moja tu.
What might be the problem?

Wanandoa wengi wamepoteza hisia kwa wenzi wao, wanaishi tu kwa kufuata sheria lakini wengi wamewachoka wenzi wao.
Je tatizo lipo kwa wanaume au wanawake au wote?

Nini kifanyike kurudisha sexual emotion kama walivyokuwa wapenzi kwa ustawi wa NDOA?
 
Dunia imebadilika,na teknolojia imebadilisha kila kitu,sisi wengine vipaumbele vyetu ni kutafuta wanawake wa kuzaa nao tu,then mtoto nikamlee mwenyewe on my own way,na si wa kuoa,kuoa ni bahati sana kumuotea mwanamke ambaye atakuwa romantic for the rest of your entire love life kama walivyo`maintain wazazi wa generation iliyopita...maisha yamekuwa na uhitaji mkubwa na changamoto nyingi,so mapenzi imekuwa ni ziada sana!
ngono ndio imetawala
.
 
Dunia imebadilika,na teknolojia imebadilisha kila kitu,sisi wengine vipaumbele vyetu ni kutafuta wanawake wa kuzaa nao tu,then mtoto nikamlee mwenyewe on my own way,na si wa kuoa,kuoa ni bahati sana kumuotea mwanamke ambaye atakuwa romantic for the rest of your entire love life kama walivyo`maintain wazazi wa generation iliyopita...maisha yamekuwa na uhitaji mkubwa na changamoto nyingi,so mapenzi imekuwa ni ziada sana!
ngono ndio imetawala
.
Kumbe kuna tofauti ngono na mapenzi:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
 
Wanawake wapo wa aina 2, kuna wake na eskort. Kwa hiyo ukioa mke maisha yataenda tu sawa, ila ukiowa huyu eskorts basi ndani kutakuwa vurugu mechi. Sasa wanandoa hawajachokona ila kwa sasa wengi wana wake zao wanawapenda tu ila pia wana eskorts kwa ajili ya kutoka nao out.
 
Ndoa huwa tamu ile miaka 5 ya kwanza kwa kuwa bado mtakuwa mnaishi kwa ku- act kuyatenda Yale anayoyapenda mwenza wako. Baada ya miaka hiyo ndio kila MTU ataishi kiuhalisia wake. Hapo ndio Ndoa nyingi zinapovunjika au zikidumu huwa kwa kisingizio cha kuwaonea huruma watoto.
 
Katika pita pita kwa marafiki ofisini asilimia kubwa ya story za mapenzi ofisini ni wanandoa kukosa hisia za mapenzi. Kuna shoga mmoja alisimulia kuwa mmeo amelala naye mwezi mzima walikutana siku moja tu.
What might be the problem?

Wanandoa wengi wamepoteza hisia kwa wenzi wao, wanaishi tu kwa kufuata sheria lakini wengi wamewachoka wenzi wao.
Je tatizo lipo kwa wanaume au wanawake au wote?

Nini kifanyike kurudisha sexual emotion kama walivyokuwa wapenzi kwa ustawi wa NDOA?
Tatizo liko kqa wote. Inatakiwa kila mtu a play part yake kunigesha mahusiano. Ukimuachia mmoja anachoka, na matokeo yake anakwenda zake
 
Hizo ni za kwao wao.
Unajua ukiwa umeoa au umeolewa jitahidi kutengeneza mazingira ya Romantic ktk yenu.
Cha msingi rudini kwenye misingi mizuri ya Ndoa.
Yaani Mimi siku zote natamani nikutane na Mpenzi wangu,kwa Maana yeye ananivutia kuliko wote Dunia.
Looh nikiondoka mbali nae huwa naumia kupita maekezo coz namic sana
 
Tatizo kubwa ni hili "wanandoa kuishi kwa mazoea"

Mazoea hujenga tabia,sasa inategemea mazoea yenu yakoje,kama ni mabaya is obvious tabia nazo zitakuwa mbaya na chafu and likewise,.
 
Mapenzi miaka miwili ya kuoana yanakuwa matamu sana. Mwanamke akishajifungua muda mwingi anasingizia malezi ya mtoto, yupo busy na kunyonyesha, mtoto na malezi kwa ujumla. Sasa hiyo GAP inampa mzee atafute kipoozeo huko nje, akiingia vibaya huko nje akipatikana AMEKWISHA kipindi mama analalamika huduma ya ndoa mze kule nje kakolea. Baada ya hapo mama naye hutafuta wa kukojoza huko NJE akipata fundi biashara imekwisha.
Mwisho wa siku wanakutana kutimiza agizo lakini mbaya zaidi wanaweza kuleteana magonjwa
 
Wanawake pia hulaumiwa kwa kutojiweka romantic, muda mwingi wamevaa makanga, magauni, madera na na mavazi mengi ambayo hayavutiii. Hata muda wa kulala makaga,mara matandio yaaani hakuna namna yeyote ya kumvutia mpenzi wako. Sasa kule kwa mchepuko mavazi yao utakoma kujua.................................
 
Hali hiyo inachangiwa na wao wenyewe hasa *wake*kwa kupenda SEX TOO MUCH kiasi kwamba tendo linakuwa 'Monotonous' na linapoteza mvuto.
Wazee wa zamani walikuwa wakilala vitanda tofauti na wake zao, na sometimes walikuwa wakilala na Nguo zao bila kuvua chupi. Siku ya kupiga show ndio mama anahamia kwenye kitanda cha baba ambavyo vilikuwa na udogo Kama wa futi mbili au tatu tu, tena cha Kamba ili wakutanie kati Kati, tofauti na siku hizi eti wanandoa wanalala uchi siku zote, tena kwenye Tanda la Sita kwa sita linaloruhusu wapenzi hao kukwepana.. matokeo yake papuchi inazoeleka mno hadi inakuwa haina tofauti na kiungo kingine chochote cha mwili, Kama vile goti au kiwiko ambavyo havipelekei kusimika mkambi,ndio sababu za kuchokana.
 
Ndoa huwa tamu ile miaka 5 ya kwanza kwa kuwa bado mtakuwa mnaishi kwa ku- act kuyatenda Yale anayoyapenda mwenza wako. Baada ya miaka hiyo ndio kila MTU ataishi kiuhalisia wake. Hapo ndio Ndoa nyingi zinapovunjika au zikidumu huwa kwa kisingizio cha kuwaonea huruma watoto.
Hii ndio inayonikuta mimi,anabadilika ,kiburi kingi sana ,zamani akikosa please nyingi na chozi juu .sasa hivi wala hajutii kukosa
anakuona wa kawaida,mnaweza mkapishana kitu kidogo week nzima mnapiga kimya yaani kila mtu na issue zake,unatamani upige punch ila unaona utaua mtu..
Ndoa ni ngumu sana lakini kitu cha msingi kabla mtu hajaingia kwenye mahusiano kwa ajili ya ndoa watu watafute wanawake wacha Mungu ambae kesho akikosa unarudi kwenye vifungu/aya unamuambia hapa Mungu kasema nini kuhusu ndoa kidogo moyo unarudi.ila hawa wanawake wa kutwa nzima kuangalia maisha ya instagram wanawaona hawa wanajiita Single mother ndio rol model wao .Hakuna ndoa kwa mwanamke wa hivyo
 
Back
Top Bottom