Wanandoa wasilale chumba kimoja na watoto wanaweza kuongea!!

Dick

JF-Expert Member
Feb 10, 2010
477
8
Wanandoa fulani waliendelea kulala chumba kimoja na mtoto mkubwa anayeweza kuongea, labda kwa sababu ya uwezo mdogo wa kupanga chumba cha pili. Huyo mtoto alikuwa na tabia ya kukojoa kitandani kila anapokuwa usingizini. Mama yake alijitahidi kumuonya bila mafanikio. Siku moja mamake aliamua kumuadhibu kwa kosa la kukojoa kitandani. Mama yule alipokuwa anamuadhibu, mtoto yule alilalamika akisema kuwa 'mbona wengine wakikojoa kitandani huwachapi, lakini mimi nikikojoa unanichapa?' Mama yule akamuuliza mwanae kuwa 'ni nani mwingine anayekojoa kitandani simchapi?' Mtoto akajibu akasema 'mbona baba mkilala anakuambia anakojoa na wewe unamwambia kojoa tu mpenzi, halafu humchapi?' Mama yule aliondoka kwa aibu hakumchapa tena.

WanaJF tuwe makini na hali kama hizi!
 
Mkuu nimeenda kuripoti polisi kwani umenivunja mbavu tatu so you are most wanted also thnx kwa kuniondolea stress
 
Wanandoa fulani waliendelea kulala chumba kimoja na mtoto mkubwa anayeweza kuongea, labda kwa sababu ya uwezo mdogo wa kupanga chumba cha pili. Huyo mtoto alikuwa na tabia ya kukojoa kitandani kila anapokuwa usingizini. Mama yake alijitahidi kumuonya bila mafanikio. Siku moja mamake aliamua kumuadhibu kwa kosa la kukojoa kitandani. Mama yule alipokuwa anamuadhibu, mtoto yule alilalamika akisema kuwa 'mbona wengine wakikojoa kitandani huwachapi, lakini mimi nikikojoa unanichapa?' Mama yule akamuuliza mwanae kuwa 'ni nani mwingine anayekojoa kitandani simchapi?' Mtoto akajibu akasema 'mbona baba mkilala anakuambia anakojoa na wewe unamwambia kojoa tu mpenzi, halafu humchapi?' Mama yule aliondoka kwa aibu hakumchapa tena.

WanaJF tuwe makini na hali kama hizi!
Angemueleza tu kwamba kaanza kumchapa yeye halafu baadaye atamchapa baba
 
ukijua unalala na mtoto mkubwa2 unafanya usiku wa manane na kimya2 hamana kunong'ona hata ukinogewa, ikibidi unashindilia nguo mdomoni ili sauti isitoke
 
ukijua unalala na mtoto mkubwa2 unafanya usiku wa manane na kimya2 hamana kunong'ona hata ukinogewa, ikibidi unashindilia nguo mdomoni ili sauti isitoke
Wengine hawalali kila siku watakuwa wanavizia kusubiri huo muda ufike. labda hiyo mbinu ya kuweka nguo mdomoni.
 
Mitoto mingine utadhani imepatikana kwa dawa
wanandoa fulani waliendelea kulala chumba kimoja na mtoto mkubwa anayeweza kuongea, labda kwa sababu ya uwezo mdogo wa kupanga chumba cha pili. Huyo mtoto alikuwa na tabia ya kukojoa kitandani kila anapokuwa usingizini. Mama yake alijitahidi kumuonya bila mafanikio. Siku moja mamake aliamua kumuadhibu kwa kosa la kukojoa kitandani. Mama yule alipokuwa anamuadhibu, mtoto yule alilalamika akisema kuwa 'mbona wengine wakikojoa kitandani huwachapi, lakini mimi nikikojoa unanichapa?' mama yule akamuuliza mwanae kuwa 'ni nani mwingine anayekojoa kitandani simchapi?' mtoto akajibu akasema 'mbona baba mkilala anakuambia anakojoa na wewe unamwambia kojoa tu mpenzi, halafu humchapi?' mama yule aliondoka kwa aibu hakumchapa tena.

Wanajf tuwe makini na hali kama hizi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom