Dini gani mkuu???Sorry wanaJamii forums kama ntakuwa nimeenda kinyume na utaratibu. naomba kuuliza ivi nihalali wanandoa au wapenzi kunyonyana sehem zao za siri? Kwaanayefahau naomba anijibu kwa mktadha wa kidin
We dini yako inasemajeDini gani mkuu???
We dini yako inasemaje
[/QDin ya kikristo au uislam
24Umri wako?.
Okey! Wacha niende chimbo kwa mujibu wa uislam.We dini yako inasemaje
Nimekuuliza kwa mujibu wa dini gani??Sijakutana na maandiko yanayoelezea jambo hilo
Din yoyoteNimekuuliza kwa mujibu wa dini gani??
orry wanaJamii forums kama ntakuwa nimeenda kinyume na utaratibu. naomba kuuliza ivi nihalali wanandoa au wapenzi kunyonyana sehem zao za siri? Kwaanayefahau naomba anijibu kwa mktadha wa kidin
Wapp wwngo sana 2Huko kwenu akuna viongozi wa dini yako?
Kwani umeshawahi kufyonza maeneo ya kusini mkuu ?We dini yako inasemaje
kakuambia nani kila kitu unarejea dini, kama we mfia dini tafuta mbingu achana na hayo mambo! Mambo ya mbunye yaliwavuruga mastaa kibao wa kwenye baibo, Daudi, Suleiman, Magdalena.... Ukimpata mtu mnapendana jipeni raha bila maswali maswali, vinginevyo una kigugumizi kwenye mapenzi
Daah! Sijawai fanya ivo.ila nataman sana kufanya iboKwani umeshawahi kufyonza maeneo ya kusini mkuu ?
Ni vema ukawauliza hapa utapata bla bla tuWapp wwngo sana 2