Wanandoa wanapowasiliana kwa SMS Ndani!!!!

Wanandoa wanapowasiliana kwa SMS Ndani!!!!


wakinuniana wanajenga penzi lao
siku wakiongea mahaba shatashata!!
ugomvi hua unapalilia penzi lililokufa atiii!!
 
Mwambie jamaa amuombe wife wasex ata kwa sms.....atamwelewa tu!
 
Ni kujaribu kwanza mwanaume kuwa mpole,halafu anaweza kuandaa mtoko mahali pa utulivu,na aongee na mkewe kuwa ana mpenda na kweli han mwanamke mwingine nje,ni fitina tu za watu na amwombe mkewe kuwa makini na maneno ya watu mara nyingi hayajengi ndoa bali hubomoa.
Au hapohapo nyumbani abadilishe menu ya siku kwa kununua misosi ambayo mkewe anapenda,ikibidi amsaidie kuandaa pia,wakati wa kula anaweza kuanza mazungumzo polepole bila kumkwaza mkewe,yaan anatakiwa ajishushe ili kumaliza utata
 
mwambie mwanaume asijibu sms hata moja. lazma ataongeleshwa haswa hapooo kwenye kuomba hela ya mboga.
 
Hii imemtokea rafiki yangu so akaja kuniomba ushauri!

Yeye na mke wake kwa sasa wamenuniana ndani ya Nyumba, chanzo ni mwanamke anamtuhumu mumewe kuwa anamega nje ya ndoa, mume anasema si kweli na kama anao ushahidi alete, mke anasema ameambiwa na mtu lakini hataki kumtaja.

Sasa wakanuniana, lakini aliyeanza ni mwanamke, basi mwanaume usiku mmoja wakiwa kitandani akamtumia mke wake "sms" kuwa "Naomba k. nina hamu" mke alipoona hiyo sms akajibu "wewe nani"? mme wake akajibu "Ina maana ushafuta namba yangu"? mke akajibu "Sema wewe nani kama hutaki acha" mme akajibu "geuka nyuma yao" mke alipojigeuza akasema khaaaa!!! then akasunya.....akamjibu kuwa "Kama ndo wewe hapa hupati kitu hadi uniambie nani unatembea naye huko?....

Ndani hawaongei ila kwa simu tu!! nimesoma sms, zingine zinasema "Njoo ule" "Nenda uoge" "naomba pesa ya mboga" "kachukue kitandani" yaan sms ni nyingi sana.

Sasa jamani huyu jamaa ndo akaja kwangu akanipa simu yake nikasoma hizo sms akaniambia nimsaidie ku-mediate huo ugomvi wao, ila akasema yeye kwa kweli hana mpenzi nje.

Nimsaidieje jamani?????

aisee nakushtaki kwa Invisible kwa kuchangia kuvunjika kwa screen ya simu yangu!!

khaa!!!
 
Last edited by a moderator:

wakinuniana wanajenga penzi lao
siku wakiongea mahaba shatashata!!
ugomvi hua unapalilia penzi lililokufa atiii!!

ni kweli switie!

When love is not madness, it is not love.!!



nakupenda sana Passion Lady

 
Last edited by a moderator:
bonge ya movie asee dah! nimecheka mpaka basi... waache wana-renew mapenzi yao
 
hii imemtokea rafiki yangu so akaja kuniomba ushauri!

Yeye na mke wake kwa sasa wamenuniana ndani ya nyumba, chanzo ni mwanamke anamtuhumu mumewe kuwa anamega nje ya ndoa, mume anasema si kweli na kama anao ushahidi alete, mke anasema ameambiwa na mtu lakini hataki kumtaja.

Sasa wakanuniana, lakini aliyeanza ni mwanamke, basi mwanaume usiku mmoja wakiwa kitandani akamtumia mke wake "sms" kuwa "naomba k. Nina hamu" mke alipoona hiyo sms akajibu "wewe nani"? Mme wake akajibu "ina maana ushafuta namba yangu"? Mke akajibu "sema wewe nani kama hutaki acha" mme akajibu "geuka nyuma yao" mke alipojigeuza akasema khaaaa!!! Then akasunya.....akamjibu kuwa "kama ndo wewe hapa hupati kitu hadi uniambie nani unatembea naye huko?....

Ndani hawaongei ila kwa simu tu!! Nimesoma sms, zingine zinasema "njoo ule" "nenda uoge" "naomba pesa ya mboga" "kachukue kitandani" yaan sms ni nyingi sana.

Sasa jamani huyu jamaa ndo akaja kwangu akanipa simu yake nikasoma hizo sms akaniambia nimsaidie ku-mediate huo ugomvi wao, ila akasema yeye kwa kweli hana mpenzi nje.

Nimsaidieje jamani?????

ongeza na zakwako akili...mwambie asave jina lako easy na hiyo namba ya hawara wake akupe ukae nayo kwa muda
 
hiyo nzuri hahahaaaaaaaaaaaaa yaani kila siku kucheka hata haipendezi wakati mwingene unaopata na picha zenye pozi la kununa ili ukimwonyesha anacheka mwenyewe.
 
Hayo ni masihara , huwezi kuendekeza magomvi kwa staili hii. Ningekuwa ni mimi hizo msg za kuambiwa kaoge , karibu chakula nisingejibu na wala kutuma. Hao ni wanandoa haijalishi wamekwazana juu ya lipi lakin mawasiliano ni muhimu. Kama mmoja anaendekeza staili hiyo mwingine akae kimya
 
eti 'we nani?' wanawake wengine bana, Munisi na Mushi wanaanza kutengenezwa hivi hivi!!
 
Back
Top Bottom