Wanandoa wanapowasiliana kwa SMS Ndani!!!!

Wanandoa wanapowasiliana kwa SMS Ndani!!!!

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Hii imemtokea rafiki yangu so akaja kuniomba ushauri!

Yeye na mke wake kwa sasa wamenuniana ndani ya Nyumba, chanzo ni mwanamke anamtuhumu mumewe kuwa anamega nje ya ndoa, mume anasema si kweli na kama anao ushahidi alete, mke anasema ameambiwa na mtu lakini hataki kumtaja.

Sasa wakanuniana, lakini aliyeanza ni mwanamke, basi mwanaume usiku mmoja wakiwa kitandani akamtumia mke wake "sms" kuwa "Naomba k. nina hamu" mke alipoona hiyo sms akajibu "wewe nani"? mme wake akajibu "Ina maana ushafuta namba yangu"? mke akajibu "Sema wewe nani kama hutaki acha" mme akajibu "geuka nyuma yao" mke alipojigeuza akasema khaaaa!!! then akasunya.....akamjibu kuwa "Kama ndo wewe hapa hupati kitu hadi uniambie nani unatembea naye huko?....

Ndani hawaongei ila kwa simu tu!! nimesoma sms, zingine zinasema "Njoo ule" "Nenda uoge" "naomba pesa ya mboga" "kachukue kitandani" yaan sms ni nyingi sana.

Sasa jamani huyu jamaa ndo akaja kwangu akanipa simu yake nikasoma hizo sms akaniambia nimsaidie ku-mediate huo ugomvi wao, ila akasema yeye kwa kweli hana mpenzi nje.

Nimsaidieje jamani?????
 
hahahah nimechekaje kuna wanawake pasua kichwa eti we nani!!!!!!!!!!

wakati hapo ukute namba hata kama kafuta alishaikrem ile mbaya hata ukimuamsha

usimgizin ataitaja bila kusahau hata digit moja.........kila la kheri kwenye USULUHISHI waweke

mtu kati na huyo mwanamke aseme nae kaambiwa na nani...
 
Hii story naona kama umeibadilisha ni kisa cha zamani.
 
Haya ni masuala mazito sana kule HAGUE
wanawezapata jibu zuri juu ya hawa jamaa.
 
Hii story naona kama umeibadilisha ni kisa cha zamani.

Mkuu Bhululu, nishauri niwashauri vp? hii ni real imetokea hapa, jamaa ni rafiki yangu sana, sasa nifanyeje?

nipo hapa Tabata segerea ndipo tunapoishi sasa mimi nipo kazini jamaa ananipigia simu kuwa niwahi kurudi home ili niwa-mediate
 
Unafaa kuwa mwandishi kama shigongo vile!dont think 2 m negative!jst my thoughts!


Nishauri niwapatanisheje bhana mambo ya shigongo na hii post wapi na wapi na wewe? yaan badala utibu ugonjwa, unaanza kumtafuta mchawi nani?
 
Nusu kama kweli Nusu kama ubunifu.. La msingi yanatokea na yakitokea yarudishwe kwa sanaa ya utani
^^
 
Mkuu Bhululu, nishauri niwashauri vp? hii ni real imetokea hapa, jamaa ni rafiki yangu sana, sasa nifanyeje?

nipo hapa Tabata segerea ndipo tunapoishi sasa mimi nipo kazini jamaa ananipigia simu kuwa niwahi kurudi home ili niwa-mediate
Sasa mkuu, kama kweli huyo mke wa rafiki yako ana ushahidi ambao ameambiwa na mtu aweke.Anzia hapo vinginevyo hiyo kesi hutaiweza.
 
Nimechekaje lol!
Hizi ndoa ni balaa, waambie waendelee kutumiana sms hivyo hivyo lazima kuna siku mmoja ataongea tu
 
matendo huongea zaidi kuliko maneno...

Mkeo unamwambia tena naomba?? Unatakiwa kuanza maandalizi mara moja pale unapohitaji HAKI yako...! Wakishanuna hawa wenzetu hasa kwa maelezo ya hadithi za kuambiwa na mtu ambaye tena hayuko tayari kumtaja, usitarajie itaisha hivi karibuni kwa kujaribu kumwongelesha.. Wewe anza maandalizi tu, utapata haki yako na that way mnuno unapungua baada ya wiki mtakuwa sawa na wala akishajirudi husimuulize alikuwa amenunia nini labda ajiongeleshe mwenyewe..

ONYO: Mama nanilihii do not cross katika hii uzi, sawa?
 
ha ha ha jamaa angegeuka amfunue atumie afunike alale.......... ila kiukweli maisha ya kununiana siyapendi peaneni makavu mambo yaishe muendelee ...... mwambie jamaa ajitoe akili awe anaongea na akitumiwa sms asjibu wala kufanya wawasiliane kwa mdomo........
 
matendo huongea zaidi kuliko maneno...

Mkeo unamwambia tena naomba?? Unatakiwa kuanza maandalizi mara moja pale unapohitaji HAKI yako...! Wakishanuna hawa wenzetu hasa kwa maelezo ya hadithi za kuambiwa na mtu ambaye tena hayuko tayari kumtaja, usitarajie itaisha hivi karibuni kwa kujaribu kumwongelesha.. Wewe anza maandalizi tu, utapata haki yako na that way mnuno unapungua baada ya wiki mtakuwa sawa na wala akishajirudi husimuulize alikuwa amenunia nini labda ajiongeleshe mwenyewe..

ONYO: Mama nanilihii do not cross katika hii uzi, sawa?

me naona hata asingee andaa angepanda tu ...
 
Mkuu Bhululu, nishauri niwashauri vp? hii ni real imetokea hapa, jamaa ni rafiki yangu sana, sasa nifanyeje?

nipo hapa Tabata segerea ndipo tunapoishi sasa mimi nipo kazini jamaa ananipigia simu kuwa niwahi kurudi home ili niwa-mediate

nenda pale wape makavu waache utoto ndo nini? kununiana ujinga mtupu si sawa
 
Iyo mbona kawaida tu, unafkiri wale wa kwenye ndoa za miaka 10, 20 au 30 wanacheka tu kila siku?
Watu wananuniana hata miezi mi3. Then kinaeleweka. Tena walau siku hizi kuna izo simu, zamani vinatembea vi note paper tu.

Wache wanuniane, baadae wataongea tu hao, ugomvi ndo mapenzi.
 
ha ha ha jamaa angegeuka amfunue atumie afunike alale.......... ila kiukweli maisha ya kununiana siyapendi peaneni makavu mambo yaishe muendelee ...... mwambie jamaa ajitoe akili awe anaongea na akitumiwa sms asjibu wala kufanya wawasiliane kwa mdomo........

kwa miss chagga jamaaa angebaka tu.......ukitendewa utafurahi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom