edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 982
Spoiler!!! ukisafiri wiki unamuacha wife na alosto kinyama lazima atafute chalii wa kuitulizakindly click here to read
kama unamaanisha wiki yenye siku saba basi si chini ya mara 21 yaani 1x3/7
Inabidi ufanye kila siku,wakorintho saba inasema wazi ,msinyimaneMmmh
Daah amna kitu najiuliza kama hichi karibuni wanandoa
tdsKama doze ya paracetamol kwa siku. .
🙂🙂🙂Inabidi ufanye kila siku,wakorintho saba inasema wazi ,msinyimane
Nini
Umesahau morning gloryAsubui
Mchana
Jioni
Usiku mda wa kujianda kulala
Usiku wa saa nane
nokia83
Nina miaka 27 natarajia kuoa tar 2 julai mwaka huu, lkn kwa mazoea nilokua sa ivi siwez pitisha siku 2 bila kugegeda..yaan hata yeye mke mtarajiwa asipokua karbu hua nalazmika kutafta mchepuko ili kulituliza dushe
Ninachojiuliza nitatakiwa ni'sex mara ngapi kwa wiki na migegedo mingapi kwa kila cku ilopendezwa?
Naomben ushaur va'ndg vapendwa!
hahaaaaAsubui
Mchana
Jioni
Usiku mda wa kujianda kulala
Usiku wa saa nane
SwadaktaKama huyo mtarajiwa tiyari umesha muanza nadhani ikifika siku ya arusi huenda ukalala ukumbini kwani huna hamu naye. Lakini, kama hujawahi kumchovya, nakuambia mnaweza kulala njaa kwani hutaruhusu itoke humo. Kwani unafikiri wabunifu wa fungate walitaka nini??
Ila kama kuanzia uchumba hadi ndoa kila mkikutana ni kitandani ndio mnamalizia hiyo siku ya fungate ya nini?? Hiyo siku mmepewa tu leseni ya kuliendesha gari lako.
Wenye hamu ya kweli ni kila saa. Zamani kidogo ilikuwa ni marufuku kupiga hodi kwa wanandoa wapya. Kama ulitaka kitu kwao uliwavizia wakitoka kwenda chooni unamuwahi mmoja unamweleza haja yako haraka na kuondoka. Unawaachia faragha yao. Nimalizie hivi; Ni marufuku kulala na pichu au kusema nimechoka
Nina miaka 27 natarajia kuoa tar 2 julai mwaka huu, lkn kwa mazoea nilokua sa ivi siwez pitisha siku 2 bila kugegeda..yaan hata yeye mke mtarajiwa asipokua karbu hua nalazmika kutafta mchepuko ili kulituliza dushe
Ninachojiuliza nitatakiwa ni'sex mara ngapi kwa wiki na migegedo mingapi kwa kila cku ilopendezwa?
Naomben ushaur va'ndg vapendwa!
huu ndio ukweli sidhani kam kuna limit...mkipata mihemko tu hamna budi kujipa raha si kila mmoja aliondoka kwao akafata hiyo kitu kwani kwa wazazi hakukuwa na vyakula au mavazi...mimi na mr wangu ni muda wowote tuu
Majukumu yakiongezeka sex haipewi sana kipaumbele. Ukiingia huko utapata hiyo experience, lakini wapo exceptional ambao hata kama ana majukumu kiasi gani, lazima wapeane tunda and that's really a good thing.Daah amna kitu najiuliza kama hichi karibuni wanandoa
mkuu kwani alikwambia kwao alikuwa hali....kipo alichofata basi akihitaji tu mpatie nawe ukihitaji akupe kwa wakati huoMalaya tena,hilo ndilo alilojia!mnyime uone moto wake.
Dah..... Isipungue mara 4 Kwa siku.....pungufu yake....hautabaki salama..... kuchapiwa kunahusu
haihusuuu... nashangaa watu wanabaniana mavituz na wakati ni wanandoa kabisahuu ndio ukweli sidhani kam kuna limit...mkipata mihemko tu hamna budi kujipa raha si kila mmoja aliondoka kwao akafata hiyo kitu kwani kwa wazazi hakukuwa na vyakula au mavazi...
mtakapojisikia tu basi kwa raha zenu tabu ya kujibanabana inahusuu