Wanandoa pitia hapa

Wanandoa pitia hapa

Bukwabi

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
3,352
Reaction score
1,154
Siku moja majambazi yakavamia nyumbani kwako. Baada ya kuchukua kila walichohitaji wakakupatia bunduki ili umuue mkeo.Wewe ukapiga magoti na kuwasihi sana wakusamehe kwani huwezi kufanya kumuua mke wako kwani unampenda sana.Yakaamua kukunyang'anya bunduki na kumpatia mkeo yakamwamuru akushuti. Mkeo akashuti kama alivyoelekezwa, bahati bunduki haikuwa na risasi.

Swali ungekuwa wewe mume au mke ungefanya nini?
 
Siku moja majambazi yakavamia nyumbani kwako. Baada ya kuchukua kila walichohitaji wakakupatia bunduki ili umuue mkeo.
Wewe ukapiga magoti na kuwasihi sana wakusamehe kwani huwezi kufanya kumuua mke wako kwani unampenda sana.
Yakaamua kukunyang'anya bunduki na kumpatia mkeo yakamwamuru akushuti.
Mkeo akashuti kama alivyoelekezwa, bahati bunduki haikuwa na risasi!
Swali ungekuwa wewe mume au mke ungefanya nini?
hahaha hayo majambazi makorofi yanaiba harafu yanaacha ugomvi wa ndoa
 
ningemsamehe, kwani nampenda ili nipendwe???
 
Nadharia zingine hata hazifai sasa hapa hiki nn labda bongo movie
 
Ningekuwa mimi mme mke akakubali kushuti halafu bunduki ikawa haina risasi ningesema THANK YOU LOAD.
 
Mkeo akashuti kama alivyoelekezwa, bahati bunduki haikuwa na risasi.

Swali ungekuwa wewe mume au mke ungefanya nini?
[/SIZE]

Kwanza kutokua na risasi sio bahati ni makusudi maana wanajua wanaweza kukutana na mwenye akili kama yangu.
 
Nimekosea ni THANK YOU LORD kwa sababu kuna watu humu wana macho yana search typing errors kuliko google.
 
Siku moja majambazi yakavamia nyumbani kwako. Baada ya kuchukua kila walichohitaji wakakupatia bunduki ili umuue mkeo.Wewe ukapiga magoti na kuwasihi sana wakusamehe kwani huwezi kufanya kumuua mke wako kwani unampenda sana.Yakaamua kukunyang'anya bunduki na kumpatia mkeo yakamwamuru akushuti. Mkeo akashuti kama alivyoelekezwa, bahati bunduki haikuwa na risasi.

Swali ungekuwa wewe mume au mke ungefanya nini?

Hii mbona cha mtoto kaka, kuna Pedeshee mmoja alimpenda mke wa mtu. Jamaa mwenye mke,hakuwa vizuri kifedha. Pedeshee baada ya kuonja nyuki akataka kuchonga mzinga. Akamwambia mwanamke " nataka uachane na mumeo nikuoe kabisa ". Pedeshee akasema ili asitusumbue inabidi tumuue kabisa. Mwanamke akasema kumuua hapana. Wakakubaliana Pedeshee ampe mwanaume hela ili amuache mke wake kwa Pedeshee.

Siku ya siku Pedeshee akamuibukia jamaa (akiwa na mke wake ) na kumwambia mpango wake haramu " NIMEMPENDA MKE WAKO, NATAKA NIMUOE KABISA. NILIKUWA NA UWEZO WA KUMTOROSHA NA KUWA NAE BILA WEWE KUJUA,BUT NIMEONA SI VIZURI..SASA BASI SEMA UNATAKA SH NGAPI, NIKUPE UNIACHIE MKE WAKO...

Jamaa akamwambia Pedeshee, muulize kwanza mwanamke kama yupo tayari. Mwanamke akajibu nipo tayari nilikuwa nasubiria wewe ukubali. Jamaa hakuwa na jinsi,akamwambia Pedeshee nipe siku tatu nifikirie...

Baada ya siku tatu,jamaa akarudi kwa Pedeshee na kumwambia amekubali. Pedeshee akatoa sh milioni tano. Jamaa kachukua milioni tano kisha kaenda kwa mganga ili awatupie uchawi mke wake na pedeshee.....

Kesi nimeikuta kwa sangoma mmoja huko Rufiji wakati nafanya reseach kuhusu uchawi.
 
kama hauna mungu unaweza kuua kwa sbb ww unaqenda kuendelea kuishi, na pia unajua kuna jehanum. lkn kwa mm cwez kuua kwa sbb "KUFA NI KRISTO, NA KUISHI NI FAIDA"
 
Hii mbona cha mtoto kaka, kuna Pedeshee mmoja alimpenda mke wa mtu. Jamaa mwenye mke,hakuwa vizuri kifedha. Pedeshee baada ya kuonja nyuki akataka kuchonga mzinga. Akamwambia mwanamke " nataka uachane na mumeo nikuoe kabisa ". Pedeshee akasema ili asitusumbue inabidi tumuue kabisa. Mwanamke akasema kumuua hapana. Wakakubaliana Pedeshee ampe mwanaume hela ili amuache mke wake kwa Pedeshee.

Siku ya siku Pedeshee akamuibukia jamaa (akiwa na mke wake ) na kumwambia mpango wake haramu " NIMEMPENDA MKE WAKO, NATAKA NIMUOE KABISA. NILIKUWA NA UWEZO WA KUMTOROSHA NA KUWA NAE BILA WEWE KUJUA,BUT NIMEONA SI VIZURI..SASA BASI SEMA UNATAKA SH NGAPI, NIKUPE UNIACHIE MKE WAKO...

Jamaa akamwambia Pedeshee, muulize kwanza mwanamke kama yupo tayari. Mwanamke akajibu nipo tayari nilikuwa nasubiria wewe ukubali. Jamaa hakuwa na jinsi,akamwambia Pedeshee nipe siku tatu nifikirie...

Baada ya siku tatu,jamaa akarudi kwa Pedeshee na kumwambia amekubali. Pedeshee akatoa sh milioni tano. Jamaa kachukua milioni tano kisha kaenda kwa mganga ili awatupie uchawi mke wake na pedeshee.....

Kesi nimeikuta kwa sangoma mmoja huko Rufiji wakati nafanya reseach kuhusu uchawi.

Ni kama vile sangoma alilamba pesa yote halafu jamaa akakosa vyote!
😃😃😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom