CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Kuna ukweli kuna ndugu ni visirani balaa asione kaka yake kaja na kimfuko,utasikia"anamdekeza sana mkewe,mwanamke mwenyewe sura kama kiazi kitamu sijui alikua kafumba macho"
na upande wa pili mke/mume anaweza akawa ndiye mbaya.
Changamoto ni kubwa kama kuibuka chuki na maneno ya ugomvi kati ya ndugu na mwanandoa mmojawapo.
Habari za jioni mabibi na mabwana katika jukwaa hili?
Naomba tujadili changamoto zitokanazo na kuishi na ndugu wa mume/mke, watoto wa kambo katika familia.
Hii imekuwa changamoto hasa kwa wanawake tushindwa kuishi na ndugu ama watoto wa mwanaume.
Kuna msemo huu "Ndugu hawana jema, hata uwabebe mgongoni" je msemo huu una ukweli?
Je tatizo ni nini?
Ni jinsi gani ya kukabiliana na changamoto hizo??
Nina mifano hai miwili ambayo wadada wameshindwa kuvumilia kuishi na ndugu. Wanalalamika ndugu wa mume wana masimango, hawaridhiki na chochote wanachofanyiwa...
Karibu kwa mjadala
Habari za jioni mabibi na mabwana katika jukwaa hili?
Naomba tujadili changamoto zitokanazo na kuishi na ndugu wa mume/mke, watoto wa kambo katika familia.
Hii imekuwa changamoto hasa kwa wanawake tushindwa kuishi na ndugu ama watoto wa mwanaume.
Kuna msemo huu "Ndugu hawana jema, hata uwabebe mgongoni" je msemo huu una ukweli?
Je tatizo ni nini?
Ni jinsi gani ya kukabiliana na changamoto hizo??
Nina mifano hai miwili ambayo wadada wameshindwa kuvumilia kuishi na ndugu. Wanalalamika ndugu wa mume wana masimango, hawaridhiki na chochote wanachofanyiwa...
Karibu kwa mjadala
hapo suala ni roho mbaya na kukosa uvumilivu tu na si vinginevyo
ndugu wa mume %kubwa wana hila sana then wao wako hivyo wao
wao wanataka kaka yao alivyokua anawahudumia kipindi yuko single bas hata baada ya ndoa awe vile
hawajui kwamba asa hv anamzigo mwingine na wao wanajifanya baba wenye nyumba
mi kwangu lakini hawanipi shida mradi tunaelewan shauri yao maana naishi na mashemeji na wale wanaokuja kushangaa mji na kuondoka
mradi kaka yao ndo analeta msosi mi sina habari
Nilicho observe siku hizi wanawake tuna roho ya ubinafsi yaana ndugu wa mume akufika tu mtu wamesha mchukulia vibaya.Mama mtu akipiga simu anakuja kutibiwa mkwe anaanza kuwambia mashost maneno nao wanamjaza ujinga.
Japo wapo ndugu wasio na adabu wafikapo katika familia ila mini nime observe wanawake siku hizi ni wa binafsi na hawapendi ndugu wa mume yaani wakija wakala bi dada anavimba kana kwamba wamedraw pesa zakr bank
Siku nyuingine ntakuja na uzi ila kina dada tumezidi kuwatrnganisha waume na ndugu zao.
Mfumo huo wa kijamaa na undugu umeshapitwa na wakati..... Sehemu nyingi duniani hakuna tena kubebana kama vile mtu anakilema!! maLovers wanaishi wawil na vitoto vyao kama wamezaa!!
Kuna ukweli kuna ndugu ni visirani balaa asione kaka yake kaja na kimfuko,utasikia"anamdekeza sana mkewe,mwanamke mwenyewe sura kama kiazi kitamu sijui alikua kafumba macho"
na upande wa pili mke/mume anaweza akawa ndiye mbaya.
Changamoto ni kubwa kama kuibuka chuki na maneno ya ugomvi kati ya ndugu na mwanandoa mmojawapo.
asikwambie mtu roho mbaya zote unazoziskia kwenye kulakwa hiyo wewe wasiwasi wako ni msosi tu?!!