hahahahaa mkuu huoni ni usumbufu kumfuata mwenzako upande wa pili ukiwa muhitaji kwa wakati huo?Ina maana katika karne hii kuna wanandoa bado wanalala kitanda kimoja? Kama mmeshibana sana kila mtu kitanda chake kwenye chumba kimoja, otherwise kila mtu chumba chake. Siku ya ratiba ya kubanjuana ndo mnakutana chumba kimojawapo. Mkimaliza kila mtu kwake akorome kwa uhuru
kitanda chako cha futi 2 nini...Mimi wala sioni ubaya wowote maana kuna wengine kama mimi ambao hatupendi mibanano.
Nikiwa kitandani kwangu nimepiga mbonji huwa najiachia kikweli kweli.
kitanda chako cha futi 2 nini...
Basi we na mwenzio mtakuwa wanene sana hadi mmoja anaovalepu spesi ya mwenzie....Aah wapi....ni king-sized.
Habari!
Leo katika pitapita zangu nimekutana na mada hii.
Kwamba kuna wanandoa ambao huwa wanalala vitanda tofauti. Na wala sio kwamba kuna ugomvi., hapana ni staili tu ya maisha yao.
Ndivyo walivyoamua kuishi.
Wengine hueanda mbali zaidi na kulala vyumba tofauti.
Je ni sawa kweli hii??
Nawasilisha!!
******Nagila nkwibe******
wanandoa kulala vyumba tofauti ni tatizo tena kubwa maana hapo wanatengua ule usemi wa kuwa mwili mmoja.
wanandoa kulala vitanda tofauti ndani ya chumba kimoja ni sawa na ni kawada ila walitumia wazee wa zamani kama njia ya uzazi wa mpango yaani baba anamfata mama kitandani kwake wakati maalum na akiwa na ashiki pia ilikuwa inamtenga mama na baba pale mama anapokuwa kwenye mzunguko wake wa mwezi.....................
mengine muulize bibi au babu yako ukikosa google.
Tatizo kikwapa, sasa.kwanza nilivyozoea kulala nimekumbatia, nimekumbatiwa, ninavyopenda kupapasa nyonyo, ninavyopenda story kabla ya kusinzia, sipati picha kulala kitanda tofauti na mama watoto wangu, nakupenda sana Jaqueline wangu.