Hahaha dah mkuu naona umejitetea ipasavyoMi hadi simu yangu ikiita inaandik private no calling hadi uswipe finger print ndio uone jina, kuhusu gallary sms phone book call reguster multiple password access from fingerprint to password..ni simu yangu sio ya familia, ikiwa mi nafanya kazi we kila siku kufuatilia tu na ugomvi what should i do..kama kuna hiyo haki ikatafsiriwe mahakamani
pamoja na hayo alikuwa anajua dhambi zinazoendelea bila yeye mwenyewe kuzienda..........so kuzijua si kuzitenda.Hahahaha sawa mkali wao, ila usinisikitikie kutojuwa kufanya dhambi, unajuwa yesu hapendi tutende dhambi