Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,249
Chatodu huo umasikini mkubwa sana...ugali na mchicha pori...wapi huko?
I have a dream.
Chatodu huo umasikini mkubwa sana...ugali na mchicha pori...wapi huko?
Unawatukana walimu wanaokatwa michango ya mwenge siyo?Mtu mwenye akili timamu hawezi kulazimishwa jambo ambalo halipendi kulitenda tena kwa hiyari mwenyewe...never....ukilazimishwa na ukalifanya basi wewe ni mgonjwa wa akili
Hao unaowabeza kwa kushindia ugali na mchicha pori wanakaribia 75% ya wa TZ wote. Nyie mnaoshindia vyakula vinavyoandaliwa kempiski hotel hamkaribii 25%. Kumbuka pia kwamba kura yako na ya house girl wako zina thamani sawa.Umesahau kuwa mitaji ya ccm ni wale watu wa vujijini wenye hali ya chini kabisa ambao chakula chao asilimia kubwa ni ugali na mchicha pori.
Msumari umekuingiaHao unaowabeza kwa kushindia ugali na mchicha pori wanakaribia 75% ya wa TZ wote. Nyie mnaoshindia vyakula vinavyoandaliwa kempiski hotel hamkaribii 25%. Kumbuka pia kwamba kura yako na ya house girl wako zina thamani sawa.
Duh..Umepiga ya pua.Hata Msigwa aliandaliwa,Bavicha sio watu wazuri nimeamini
Hata wakoloni mpaka Leo bado tunawashangilia japo moyoni hatuwapendiKwani Idi amini alikuwa hashangiliwi?
Kwa nchi hii ya Tanzania kama wewe una akili timamu huwezi kuongelea sanduku la kura.Hao unaowabeza kwa kushindia ugali na mchicha pori wanakaribia 75% ya wa TZ wote. Nyie mnaoshindia vyakula vinavyoandaliwa kempiski hotel hamkaribii 25%. Kumbuka pia kwamba kura yako na ya house girl wako zina thamani sawa.
Waulize wafanyakazi wa serikali mfano Mei Mosi wangapi walienda kwa ihari. Unasaini na wasioenda wanajieleza. Unaowaona wengi ni wale wapewa vitenge na khanga. Huwezi kula siku ukaomba kuombewa kila mahali kama huna kitu unahisi hufanyi sawa. Time will tell.Mtu mwenye akili timamu hawezi kulazimishwa jambo ambalo halipendi kulitenda tena kwa hiyari mwenyewe...never....ukilazimishwa na ukalifanya basi wewe ni mgonjwa wa akili
Everything is plannedUkijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?
Mkuu kama uko kwenye akili yangu hovyo sana hii halafu TBC 1 yaani full live coverage hata kama kuna kuzindua choo cha kijijiHao wananchi wanaojifanya wanamsimamisha barabarani akiwa kwenye msafara wake huwa wanaandaliwa kwa lengo la kwenda kumshangilia ili aonekane anapendwa.
Hakuna jambo linalofanyika kwa bahati mbaya, huu mchezo umeanza siku nyingi tu.
Hao ni wafia Chama cha kijani mkuuMtu mwenye akili timamu hawezi kulazimishwa jambo ambalo halipendi kulitenda tena kwa hiyari mwenyewe...never....ukilazimishwa na ukalifanya basi wewe ni mgonjwa wa akili
Asilimia kubwa ya hao watu hawajaelimika pia watanzania ni wavivu badala ya kufanya kazi zao wanashinda kwenye mikutano ya ccmUkijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?
Ukweli ni kwambawatu wa mijini ndio wanaolialia hali ngumu,demokrasia na mengineyo,ila huko vijijini wanamkubali sana JPM kwani wametatulia shida nyingi sana na wanamkubali sana,Ukijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?
Sio kweli kwamba democrasia imebanwa vyama vya siasa viko huru kufanya mikutano na kuongea na wananchi isipokuwa Havana cha kuwaeleza maana serekali iko vizuri sana katika kutekeleza mipango chanya, c kweli kwamba vyuma vimekaza sasa hivi ajira ni nyingi sana kila kukicha serekali inaajiri na hata sekta binafsi imeimarika sana, viwanda karibia elfu nne vimeanzishwa na vyote vimeajiri wafanyakazi wapya, wanaosema hakuna ajira ni wavivu tu. Kingine kizuri ni kwamba mheshimiwa raisi anatatua kero papo kwa papo mfano kama shule hazina vyoo anatoa cash hapohapo hii inasaidia sana maana shule zote zitakuwa na vyoo tena vya kisasa. Hawa wanaolalamika sijui wanamatatizo ya akili?Ukijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?