Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 203
Sadakta Majebsmafuru uko degrii 180 yaani mstari ulonyooka bila kona!
Wana JF tumejifungia ndani ya boksi likija suala la JPM. Piga ua JPM anapendwa na common man periodWale wanaishi dunia isiyo mfahamu mange kimambi!
Ukijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?
HahahahaWale wanaishi dunia isiyo mfahamu mange kimambi!
Lumpen proletariat ndizo tabia zao, unconscious of themselves, unconscious of their fate and their Generations to come. Akipata mihogo akala, basi siku imeisha.Ni wachache wanaojua Demokrasia imebanwa na hata Maisha kuwa magumu wao wana ona ni mipango ya Mungu tu...
Naeza kusema hapa tatizo wengi sio wasomi..
Tena taarifa zao za habari wanaskiza TBC fm na kuangalia TBC1 Ambayo siku zote hainaga baya la serikali
Ukishamuona unafaidika nini?Kwa mfano mimi sijawahi kumuona Magufuli live hvyo ikitokea akafanya ziara huku kijijini kwetu nitalazimika niende nikamuone live.
Nadhani ni unafiki kiwango cha standars gaugeMsafara wa rais wa kuusimamisha ni nani? Hata wale wanaoenda kulia mbele yake huwa wanaandaliwa, yule dingi aliovumbua tanzanite mkulu alitumiwa meseji kabla ya kufika mererani, Mkuu huu ni unafiki wa kiwango cha lami!
Ukijaribu kufuatilia ziara za Rais Magufuli ndani ya nchi na msafara wake wananchi wengi sana wanajitokeza kila kwenye kijiji au miji midogo iliyopo kanda ya barabara na karibu maeneo hayo yote Rais husimama na kuwasilimia kwa muda mfupi.
Lakini kikubwa nachokiona katika ziara hizi kwanza ni ile idadi kubwa inayojitokeza na pili namna wanavyoshangilia hotuba zake na kumfurahia Rais Magufuli na tatu anavyosikiliza kero zao na zingine kuzitatua on the spot.
Hali hii unaweza kuitafsiri vipi kiutawala na haya maneno maneno ya kila siku hali ngumu kimaisha,utawala unakandamiza haki na demokrasia na kuuwa watu?
Ingia mitandaoni sasa kwenye dunia ya kufikirika, utawakuta ufipa kibao wakiaminisha watu jamaa hapendwi.
Kwa kweli huku mitaani jamaa anakubalika sana na wananchi wake.
Kwani Idi Amini alikuwa na shida gani?Kwani Idi amini alikuwa hashangiliwi?