Wananchi wasishirikiane na Askari polisi wote

Wananchi wasishirikiane na Askari polisi wote

MlimaSayuni

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
6,606
Reaction score
11,820
Ninapinga kwa nguvu zote hatua zote walizochukua Askari polisi na watu walioko Nyuma ya Tukio la kuvamia na kumzunguka Gwajima.

Polisi wakivalishwa nguo wanajisahau kuwa kazi ya Upolisi ndio ilikuwa option ya mwisho kwenye maisha yao.

Kuanzia sasa utangazwe utaratibu wa kuto kumkopesha, kuto nunua bidhaa/huduma wala kushirikiana nao kijamii na Askari polisi na familia zao kwa ujumla
 
Ninapinga kwa nguvu zote hatua zote walizochukua Askari polisi na watu walioko Nyuma ya Tukio la kuvamia na kumzunguka Gwajima.

Polisi wakivalishwa nguo wanajisahau kuwa kazi ya Upolisi ndio ilikuwa option ya mwisho kwenye maisha yao.

Kuanzia sasa utangazwe utaratibu wa kuto kumkopesha, kuto nunua bidhaa/huduma wala kushirikiana nao kijamii na Askari polisi na familia zao kwa ujumla
hakika
 
Sio wao wao waliapa kulinda chama so utaki KAZI huna kachunge mbuzi kwenu
 
Adui yetu mkubwa ni ccm, watu wanaopenda haki na kwa heshima ya waliotekwa, teswa, kupotea, kuuliwa. Msanii awe wa maigizo, muziki anashadadia ccm unfollow, usiangalie kazi zake, usimuunge kwa chochote.

Tukija hao polisi kama alivyosema hapo juu, hakuna kuwapa ushirikiano popote. Kuna muda vitendo viongee kuliko maneno. Unatuuza huku, tunakuuzisha kule.
 
Ninapinga kwa nguvu zote hatua zote walizochukua Askari polisi na watu walioko Nyuma ya Tukio la kuvamia na kumzunguka Gwajima.

Polisi wakivalishwa nguo wanajisahau kuwa kazi ya Upolisi ndio ilikuwa option ya mwisho kwenye maisha yao.

Kuanzia sasa utangazwe utaratibu wa kuto kumkopesha, kuto nunua bidhaa/huduma wala kushirikiana nao kijamii na Askari polisi na familia zao kwa ujumla
Hata wao ukianzisha ubaguzi nao hawatashirikiana na wewe ukivamiwa na majambazi na panya road, kila mmoja afanye yake uone kifuatacho mburula mkubwa we!
 
Hata wao ukianzisha ubaguzi nao hawatashirikiana na wewe ukivamiwa na majambazi na panya road, kila mmoja afanye yake uone kifuatacho mburula mkubwa we!
Wao watapoteza kuliko raia wakawaida
.
 
Nenda kwenye kanisa la Gwajima bado wapo kawaeleze huo msimamo mbele yao usiusemee nyuma ya keyboard
 
Back
Top Bottom