beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Nimejaribu kuvuta picha ya darasani, kwamba mwalimu anauliza swali na wanafunzi karibu wote wanajibu kwa sauti kubwa 'Ndiyooooo''
Hiki ndicho kilichotokea pale wananchi wengi walipoulizwa swali husika hapo juu.. Ni imani yangu Serikali na wenye mamlaka watakuwa wamesikia jibu la wananchi..
Hata hivyo matusi sio njia sahihi ya kukosoa. Tujifunze kukosoa kwa ustaarabu. Hakuna anayependa kukosolewa kwa dhihaka aisee!
Hiki ndicho kilichotokea pale wananchi wengi walipoulizwa swali husika hapo juu.. Ni imani yangu Serikali na wenye mamlaka watakuwa wamesikia jibu la wananchi..
Hata hivyo matusi sio njia sahihi ya kukosoa. Tujifunze kukosoa kwa ustaarabu. Hakuna anayependa kukosolewa kwa dhihaka aisee!