Baada ya umati mkubwa kufurika Leo tarehe 20/07/2023 katika mahakama kuu kanda ya Mbeya,WANANCHI WAOMBA KESI ihamishiwe uwanja wa soikoine hii ni kutokana na uwingi wa watu waliokuja kujua Nini kinaendelea, watu mbalimbali wametoka maeneo tofauti ya nchi yetu wako mkoani Mbeya wengi ni kutoka Njombe, Iringa, Songwe, Ruvuma, Rukwa, Katavi nk
BANDARI YETU, RASILIMALI YETU.
Nini maoni yako
BANDARI YETU, RASILIMALI YETU.
Nini maoni yako