kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Hivi kwa nini mikutano mingi ya kampeni za hawa wagombea wa CCM zimekuwa zikitumia muda mwingi sana kupiga ngoma na kuwaimbisha nyimbo wananchi badala ya kutumia muda huo kuwaeleza wananchi sera na kusikiliza kero za wananchi ?