Elections 2010 Wananchi wanapochezeshwa muziki badala ya kuelezwa sera za mgombea na chama chake.

kichenchele

JF-Expert Member
Jun 28, 2010
539
176
Hivi kwa nini mikutano mingi ya kampeni za hawa wagombea wa CCM zimekuwa zikitumia muda mwingi sana kupiga ngoma na kuwaimbisha nyimbo wananchi badala ya kutumia muda huo kuwaeleza wananchi sera na kusikiliza kero za wananchi ?
 
Huu ni wakati wa burudani na mavuno.... barabara zilizoshindika sasa zinajazwa vifusi, hospitali ambazo hazikuwa na madawa miaka 20 iliyopita sasa zinapandishwa hadhi kuwa za rufaa (nadhani rufaa ya kifo). Hakuna wasiyoyajua wananchi kwa hiyo inabidi waburudishwe tu na kupewa kanga, wakidanganyika wasubiri tena miaka 5.
 
Wasomi na wanafalsafa wanauita huo mtindo kuwa ni kutegemea hisia za watu au appealing to emotions. Yaani ukiwepo watakupamba, wataimba nakucheza huku wakiburudika lakini ukiondoka wanakusahau. Katika mtindo wa kuongea tunauita argumentun ad populum. Sisiemu wataelewa siku ya kupiga kura ndo wajue kuwa jamaa walikuwa wanafurahia bongo flavor to ila wamechoka na ufisadi!
 
umesahau na viroba mkuu.kuna m2 yupo singida anasema leo wanagawiwa msaada wa chakula na mafuta kutoka marekani wakati hiyo sehemu alizeti na mahindi wamevuna kuliko miaka yote.

mwaka huu sisisiemu.
 
hivi kwa nini mikutano mingi ya kampeni za hawa wagombea wa ccm zimekuwa zikitumia muda mwingi sana kupiga ngoma na kuwaimbisha nyimbo wananchi badala ya kutumia muda huo kuwaeleza wananchi sera na kusikiliza kero za wananchi ?

hakuna njia nyingine ambayo ccm wanaweza kuwaita watu bcs hawajafanya lolote miaka 5, kilichobaki nikupiga ngoma na mziki kwa sana kuwavutia watu. Hakuna mtu anavutiwa na speech zao zaidi ya ngoma kama ni sera watu wamesikiliza sana mwaka 1995.
 
Unauliza jibu?

Lile sugu kule Mbeya huwa linafanyaGA nini vile?

Selective amnesia ni ugonjwa unaojulikana kama "hatudanganyiki lakini kudanganya ruhsa"...

Crap mwanzo mpaka mwisho! :tonguez:
 
nakwambia utafikiri ni matamasha au uzinduzi wa albam yote haya kuwapumbaza wadanganyika waendelee kula
 
Back
Top Bottom