Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
Nimetizama clips moja ya wanakwaya wakiimba mbele ya mh rais Magufuli. ile clips kwangu imenitia moyo sana hata nimesahau ela ya marekani aliyotunyima..ule uzalendo na feeling anazoonyesha Magufuli ni kielelezo tosha kwamba tuna Rais wa Watanzania wote na si rais wa wachache!
Nimejifunza mambo makuu yafuatayo.
Rais Magufuli anapenda sana watu wake
Rais ana uzalendo mkubwa kuliko chochote kile.. amegundua kosa letu kubwa tunalolifanya nikuacha uzalendo tulioachiawa na Mwl.
Magufuli yuko kwa ajili ya watanzania. hotuba yake pale Chato ina mambo makubwa ambayo rais mjanjamjanja asingeyasema... magufuli hana miezi minne ikulu lakini furaha tuliyonayo utanzani tumekuwa nae baada ya Nyerere.. hakika makubwa na mazuri yanakuja..
Tunakoelekea mim naona/nadhani ni bora tubadirishe katika Magufuli awe Rais wa kudumu. Kwani nin bwana!
Huyu rais jaman yupo vizur sanaUjinga huo ndio hatuutaki, tunawacheka nini Rwanda na sisi tunataka kufanya nini? Naamini Tz tuna kina magufuli wengi sana, muhimu kuondoa kikazi chote cha nyerere nchi itakaa sawa tu
Huyu rais jaman yupo vizur sana
Kweli kabisa Mkuu. Ndo maana anawapika akina Philip Mpango ambao wana mawazo kama yakekama ni kiongozi mzuri apike viongozi wengine kama yeye ili wamrithi
JK alianza kwa kasi ipi? Mie siikumbuki. Ila haya ya Magufuli yatabaki kwenye memory za wananchi kwa miaka mingi ijayoAcheni Ku kurupuka Hata jk alianza kwa kasi sana bado show INA endelea badae ndo tuzungumze
Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
Ujinga huo ndio hatuutaki, tunawacheka nini Rwanda na sisi tunataka kufanya nini? Naamini Tz tuna kina magufuli wengi sana, muhimu kuondoa kikazi chote cha nyerere nchi itakaa sawa tu