Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,192
- 99,924
Nimesikitishwa na kutishika na video hizi zinazodaiwa kuwa za Wananchi jimboni kwa Job Ndugai wakishangilia kifo chake
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba, wote walioandaa Hotuba ile ya mazishi ya Lissu zikiwemo na kompyuta zilizotumika kuchapishia Wamepukutika, hakuna hata mmoja aliyesalia.Nimesikitishwa na kutishika na video hizi zinazodaiwa kuwa za Wananchi jimboni kwa Job Ndugai wakishangilia kifo chake
Video ziko wapi??
Duuui bado kondaTaarifa ya sasa inaeleza kwamba, wote walioandaa Hotuba ile ya mazishi ya Lissu zikiwemo na kompyuta zilizotumika kuchapishia Wamepukutika, hakuna hata mmoja aliyesalia.
kipi kimekusikitishaNimesikitishwa na kutishika na video hizi zinazodaiwa kuwa za Wananchi jimboni kwa Job Ndugai wakishangilia kifo chake
Soon ...Duuui bado konda
Sasa nimeelewa kule kwa post yanguTaarifa ya sasa inaeleza kwamba, wote walioandaa Hotuba ile ya mazishi ya Lissu zikiwemo na kompyuta zilizotumika kuchapishia Wamepukutika, hakuna hata mmoja aliyesalia.
Nimekumbuka yule rais aliyeuwa kwa risasi, rais wa Romania, Ceaușescu. Alikuwa ametoka ''kushinda'' uchaguzi mkuu kwa asilimia 99, lakini siku chache baadae akazomewa na umati na kuuawa. Ndugai naye alikuwa ametoka ''kushinda'' kura za maoni na alikuwa anasema wananchi wake wanampenda. Ila CCM wasipomsikiliza Polepole, kuwa tunahitaji maridhiano ya kitaifa ili tuanze upya hali itazidi kuwa mbaya....CCM angalieni mnapopeleka Taifa....Video hizo 2 za usiku ni wananchi wa jimbo la Kongwa wakishangilia msiba......dah,imagine wa mtu ambaye angekuwa Mbunge wao na alikuwa Mbunge wao wa muda mrefu.
Hawaamini kama amepita kihalali?
Video nyingine ni tukio la March 10,2009View attachment 3434482
Ikifika kwa Paul Makonda nishtue maana jamaa karma imekua ngumu saana kumfika sijui kwann???Taarifa ya sasa inaeleza kwamba, wote walioandaa Hotuba ile ya mazishi ya Lissu zikiwemo na kompyuta zilizotumika kuchapishia Wamepukutika, hakuna hata mmoja aliyesalia.
Jitoe akili tu. Tanzania ina hali mbaya...Hivi ni nani ana uhakika kuwa hapo ni kongwa na kina yeyote amesikia neno la ndugai limetajwa?!!!
Muda haujatimiaIkifika kwa Paul Makonda nishtue maana jamaa karma imekua ngumu saana kumfika sijui kwann???
Toka amvamie na kumpiga mzee warioba? Kuhusiahwa na jaribio la kumuua TAL na mauaji mengine??? Aiseeh huyu mtu anaulendeleo saana maana yeye anazidi tu kushine na kufikia ndoto zake 😮💨😮💨😮💨Muda haujatimia
Hizi ndo mada mpendazo chadema 😂 hapo roho zenu n burudani tuuCCM angalieni mnapopeleka Taifa....Video hizo 2 za usiku ni wananchi wa jimbo la Kongwa wakishangilia msiba......dah,imagine wa mtu ambaye angekuwa Mbunge wao na alikuwa Mbunge wao wa muda mrefu.
Hawaamini kama amepita kihalali?
Video nyingine ni tukio la March 10,2009View attachment 3434482
Vipi kama ukianza wewe mkuu?Au wewe huna roho?Ikifika kwa Paul Makonda nishtue maana jamaa karma imekua ngumu saana kumfika sijui kwann???