Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
tatizo la huku ni moja,
hakuna DIRECT IMPACT KWA WALALAHOI(wavuja jasho)!
Impact yake ni katika looong term.ukisema mimi na wewe tuipractise SOLIDARITY JUST BECAUSE WE KNOW WHAT IS HAPPENING,NAKUELEWA VIZURI ZAIDI!otherwise will be talking talking talking!
Sijakusoma vizuri, kwa nini hakuna direct impact kwa walalahoi, mie naona wao ndio wako directcly affected na impact yake ni direct sio long term kwani akidhulumiwa thumni anakufa kesho yake, lakini mwingine anaweza kusurvive.
Talking ,talking, talking brings us to know our common problems, if we know that we have a common problem then the next step would be how to solve the problem, that will take us a step further, au vipi.
Kukaaa tu haisaidii