Wananchi wafunga barabara asubuhi hii Arusha

Wananchi wafunga barabara asubuhi hii Arusha

Chadema mnaendeleza uhuni wa kuharibu Taifa letu. By dr Slaa Taifa halitotawalika ndio tunachoshuhudia.

Tanzania kuna taifa au kuna mautumbo ya bata ..hili nalo taifa ..ptuuuh
 
Hizi sasa ni NGUMI za chini ya Mkanda, aiyaa!!!!!
Angalia, itafikia mahali hata mai waifu wako akikunyima unyumba kwa kushindwa kwako kuwajibika kwenye familia, utasema ni Chadema
 
Hizi bangi kweli mbaya, yani zina haribu kabisa uwezo wa mtu kufikiri!Sasa kama hao wananchi waliofunga barabara, kwani hawazijui taratibu za kuweka bumps kwenye barabara mpaka waifunge?Kama barabara ni ya kitaifa au mkoa, basi wawasiliane na TANROADS ambao wana ofisi karibu kila mkoa, au kama ni ya wilaya wawasilishe halmashauri.Mbona ni jambo dogo tu hili na wala halihitaji kuandamana na kufunga njia, kweli CHADEMA mmetuharibia jamii yetu.
Jambo kama hili si mara ya kwanza kutokea hapa nchini nakumbuka hata Dar kuna kipindi wananchi walifunga Barabara kwa tatizo kama hili, kinachosababisha haya ni Serikali kutokuwa na usikivu wa malalamiko ya wananchi na inapotokea kutosikilizwa na kutekelezewa wanachohitaji hayo yanayotokea hutokea.
 
mbona kila kitu mwailaumu Chadema,au nikweli imewaamsha wananchi usingizini?
 
Hizi bangi kweli mbaya, yani zina haribu kabisa uwezo wa mtu kufikiri!

Sasa kama hao wananchi waliofunga barabara, kwani hawazijui taratibu za kuweka bumps kwenye barabara mpaka waifunge?

Kama barabara ni ya kitaifa au mkoa, basi wawasiliane na TANROADS ambao wana ofisi karibu kila mkoa, au kama ni ya wilaya wawasilishe halmashauri.

Mbona ni jambo dogo tu hili na wala halihitaji kuandamana na kufunga njia, kweli CHADEMA mmetuharibia jamii yetu.

Hizo process tulishazpitia tayari, hatuwezi kuendelea kupoteza nduguzet, tunataka MATUTA acha porojo!
 
Angalia, itafikia mahali hata mai waifu wako akikunyima unyumba kwa kushindwa kwako kuwajibika kwenye familia, utasema ni Chadema
Na hii ni kweli kabisa, maana magamba kila wakati yanaweweseka Chadema tuuuu.
 
Wacha waone yote saWa,but hii ni nchi yetu sote
 
chadema wanazidi kuiharibu nchi!!!

attachment.php
 
Back
Top Bottom