Wananchi wa Mbeya Waipa Adhabu CHADEMA

Wananchi wa Mbeya Waipa Adhabu CHADEMA

Ameloa, Ameloa, Ameloa na mvua
Chadema ni dude fulani hivi litawaumiza sana
 
Mbunge kijana Tulia Ackson anatosha kwa Mbeya mjini. CHADEMA wakapambanie huko Hai labda wataambulia kitu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jitekenye na kucheka mwenyewe.washukuru marehemu alivowapa ubunge wa Bure nchi nzima
 
Maccm hasa mafuasi ya yule gaidi mnaumia sana kuona CHADEMA inaendelea kuvutia watu kila wanapopita.
Na hizi ni rasharasha 2025 mtafute kwa kukimbilia
RIWAYA: EKA EKA ZA MBOWE MLAMBA ASALI NA CHUPA TAKE YA KONYAGI .
 
Mara uko tunduma, mara uko mbeya. Ina maana unazunguka na chadema kuona ni jinsi gani wanavyojaza viwanja?

Matatizo waliyo nayo wanachi hayajaletwa na mikutano ya chadema, yameletwa na serikali yako. Acha upumbavu dogo
 
Nipo Mbeya nimeshuhudia kwa macho wananchi wakikacha mikutano ya chadema. Nimejaribu kupeleleza wanasema mikutano imekosa sera na wapo busy kwa mambo mengine. Bado sijajua hasira hizi kwa hiki chama zimetokana na nini, au huenda ni kazi kubwa inayofanywa na Spika wetu Mh.Tulia Ackson.

Chadema wanasemaga mbeya Ni ngome yao lakini hali imekua tofauti kabisa na walivyotegemea, wananchi wameamua kuwapa adhabu ya kutoshirikiana nao kwenye mikutano yao.

Kilichopo ni Wanachama wachache wameungana nao na wengine kutoka mikoa ya jirani ndio wapo nao. Wananchi wa Mbeya kwa nn wameamua kufanya yote haya?

Kama hali itaendelea hivi kuna kila dalili chadema wakashindwa kuendelea na mikutano mingine.
 
Nipo Mbeya nimeshuhudia kwa macho wananchi wakikacha mikutano ya chadema. Nimejaribu kupeleleza wanasema mikutano imekosa sera na wapo busy kwa mambo mengine. Bado sijajua hasira hizi kwa hiki chama zimetokana na nini, au huenda ni kazi kubwa inayofanywa na Spika wetu Mh.Tulia Ackson.

Chadema wanasemaga mbeya Ni ngome yao lakini hali imekua tofauti kabisa na walivyotegemea, wananchi wameamua kuwapa adhabu ya kutoshirikiana nao kwenye mikutano yao.

Kilichopo ni Wanachama wachache wameungana nao na wengine kutoka mikoa ya jirani ndio wapo nao. Wananchi wa Mbeya kwa nn wameamua kufanya yote haya?

Kama hali itaendelea hivi kuna kila dalili chadema wakashindwa kuendelea na mikutano mingine.
we acha usagaji.
unasagwa na supika[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkuu unazungumziaje FA kuwa Naibu waziri Wa Sanaa Utamaduni na Michezo
 
Back
Top Bottom