Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Nipo Mbeya nimeshuhudia kwa macho wananchi wakikacha mikutano ya chadema. Nimejaribu kupeleleza wanasema mikutano imekosa sera na wapo busy kwa mambo mengine. Bado sijajua hasira hizi kwa hiki chama zimetokana na nini, au huenda ni kazi kubwa inayofanywa na Spika wetu Mh.Tulia Ackson.
Chadema wanasemaga mbeya Ni ngome yao lakini hali imekua tofauti kabisa na walivyotegemea, wananchi wameamua kuwapa adhabu ya kutoshirikiana nao kwenye mikutano yao.
Kilichopo ni Wanachama wachache wameungana nao na wengine kutoka mikoa ya jirani ndio wapo nao. Wananchi wa Mbeya kwa nn wameamua kufanya yote haya?
Kama hali itaendelea hivi kuna kila dalili chadema wakashindwa kuendelea na mikutano mingine.
Chadema wanasemaga mbeya Ni ngome yao lakini hali imekua tofauti kabisa na walivyotegemea, wananchi wameamua kuwapa adhabu ya kutoshirikiana nao kwenye mikutano yao.
Kilichopo ni Wanachama wachache wameungana nao na wengine kutoka mikoa ya jirani ndio wapo nao. Wananchi wa Mbeya kwa nn wameamua kufanya yote haya?
Kama hali itaendelea hivi kuna kila dalili chadema wakashindwa kuendelea na mikutano mingine.