jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Katika pitapita yangu nimekutana na wananchi wakiwa kwenye vikundi tofauti tofauti wakiijadili kauli ya mwenyekiti wa bunge maalum la katiba ndg. Samwel Sitta ya kutaka ITV ishughulikiwe kutokana na kurusha hewa midahalo ya katiba,
Ikatolewa hoja kutaka kwenye namba ya Samweli awape raia "wamrukie hewani" kwa sms au kumtwangia kabsaaaaa ili wamtolee "nyongo" na wala si "kinyongo"
mwenye nazo namba za mzee huyu azitundike hapa kama wanavyotundikaga zile za kina dokta MATUNGE au wale wa kutoka naijeria.
NAWASILISHA.
Ikatolewa hoja kutaka kwenye namba ya Samweli awape raia "wamrukie hewani" kwa sms au kumtwangia kabsaaaaa ili wamtolee "nyongo" na wala si "kinyongo"
mwenye nazo namba za mzee huyu azitundike hapa kama wanavyotundikaga zile za kina dokta MATUNGE au wale wa kutoka naijeria.
NAWASILISHA.