Huyu bwana wa sasa tuliambiwa kuwa ni mpango wa mungu. Na huyu naye ni mpango wa mungu? Kweli mungu hatupendi watanzania.
Watoto wanashindwa kwenda shule wakati mkuu wa kaya yuko busy kutafuta ambulance za dola 6000 @ kwa kisingizio cha kuaga. Dola imefika 2300 hakuna anayeshituka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.