Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,170
- 21,311
Habari wakuu
Mimi binafsi kuna vitu nashindwa kuelewa kwenye nchi yetu ya demokrasia, wanasema wananchi ndio serikal
Lakini bila kupindisha maneno, sijajua labda sisi watanzania ndivo tulivo, nchin kwetu hakuna kitu kinachoitwa nguvu ya umma, japo kuwa ni nchi ya demokrasia.
Yaani serikali inanguvu kuzid wananchi, wananchi hawana maamuzi juu ya seriakali.
ile kauli ya mheshimiwa inayosema Tanzania ya wanyonge, aisee hii kauli unaweza kuichukulia poa, ila tunatengeneza taifa la watu wanyonge, tena wanyonge kweli kweli, mayai mayai.
ile Tanzania ya enzi za nyerere yenye kauri za kishujaa haipo tena, watu wananyongonyea na kulegea vibaya mno,wanakufa na matatizo yao vifuani, aisee, hii kitu huwezi amini mpaka upite kwa mtanzania mmoja mmoja.
Hizi kauli za wanyonge, watu masikin, sio nzuri kabisa, maneno yanaumba
Uzi tayari
Mimi binafsi kuna vitu nashindwa kuelewa kwenye nchi yetu ya demokrasia, wanasema wananchi ndio serikal
Lakini bila kupindisha maneno, sijajua labda sisi watanzania ndivo tulivo, nchin kwetu hakuna kitu kinachoitwa nguvu ya umma, japo kuwa ni nchi ya demokrasia.
Yaani serikali inanguvu kuzid wananchi, wananchi hawana maamuzi juu ya seriakali.
ile kauli ya mheshimiwa inayosema Tanzania ya wanyonge, aisee hii kauli unaweza kuichukulia poa, ila tunatengeneza taifa la watu wanyonge, tena wanyonge kweli kweli, mayai mayai.
ile Tanzania ya enzi za nyerere yenye kauri za kishujaa haipo tena, watu wananyongonyea na kulegea vibaya mno,wanakufa na matatizo yao vifuani, aisee, hii kitu huwezi amini mpaka upite kwa mtanzania mmoja mmoja.
Hizi kauli za wanyonge, watu masikin, sio nzuri kabisa, maneno yanaumba
Uzi tayari