FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Huku unaweza kugeuzwa kitoweo, kweli wasijaribu
Haha nakumbuka tulishawahi kumpasua askari tukamnyanganya kofia huko unga limited
tukamkimbiza vibaya sana alikuwa anatabia ya akiwa hana hela anakuja kitaa kutuzingua Bila sababu za maana sikuhiyo tupo zetu tu napiga mbuyu akaibuka Na mikwala Hahaha alikuona
Utaitwa mchocheziHiyo ndo yenyewe

Hata tabora waliwahi kufanya hivyo hadi nilishangaa, walimsikia akipiga simu kuomba aongezewe mabomu ya machozi ndo wakawavamia.Mbagala wameshafanya hivyo.