FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,786
- 46,904
Huku unaweza kugeuzwa kitoweo, kweli wasijaribu
Haha nakumbuka tulishawahi kumpasua askari tukamnyanganya kofia huko unga limited[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji61] [emoji61] [emoji61] tukamkimbiza vibaya sana alikuwa anatabia ya akiwa hana hela anakuja kitaa kutuzingua Bila sababu za maana sikuhiyo tupo zetu tu napiga mbuyu akaibuka Na mikwala Hahaha alikuona
Utaitwa mchochezi [emoji2]Hiyo ndo yenyewe
Hata tabora waliwahi kufanya hivyo hadi nilishangaa, walimsikia akipiga simu kuomba aongezewe mabomu ya machozi ndo wakawavamia.Mbagala wameshafanya hivyo.