Aisee usijidanganye huu Upungufu wa Kinga Mwilini upo atii,ni vile Serikali na Mashirika yameshift kutoka kutoa awareness kuhusu hiyo kitu,husikii tangazo la UKIMWI wala kipeperushi ni Malaria Matende na Mabusha cjui nn,siku saivi ni Projects za ARV na wanapelekewa huko waliko esp vijijini hukuti wamerundikana CTC kam a zamani,hukuti wanamagonjwa nyemelezi sjui kikohozi kuhara nywele kuteleza na kunyonyoka ,wanajitambua most of them ni wafuasi wazuri wa dawa,ila for sure nenda vjjn wanakopokelea dawa hutatamani tena ngono zembe,maana watu ni wengi mno mno,watu 1000 na zaidi kwa kata si ajabu na hao ni walojitokeza.so elimu bado inahitajika sana sana hasa kwa vijana wa kike na kiume ili kunusuru hali na kwa vizazi vyetu vinavyokuja.