Wanamtandao wa Maombi Tanzania (WAMATA)

Wanamtandao wa Maombi Tanzania (WAMATA)

Kigundu

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
79
Reaction score
24
Tunazidi kuwakaribisha waombaji ktk roho na kweli popote pale walipo kujiunga nasi katika mtandao mpya kabisa wa wanamaombi unaotarajiwa kuzinduliwa mwezi Novemba mwaka huu.

Lengo kuu la mtandao huu ni kuungana pamoja katika vita vya kiroho kumpinga na kumwaibisha shetani na jeshi lake pia tutajihusisha na uenezaji injili, maombezi, kutiana moyo wakati wa matatizo, n.k

Kama unawiwa kujiunga nasi tuna sms ya jina lako kwenda 0767840793 ili uorodheshwe na mengi utajuzwa kupitia simu. SIFA:Uwe mwombaji uliye mfu wa dhambi na unayetegemea uongozi wa ROHO MTAKATIFU katika maombi yako.

KATIBA yetu ni Biblia takatifu, miongozo na kanuni itatungwa na wanamtandao wenyewe wakati wa mkutano wa uzinduzi na uchaguzi wa viongozi.

KARIBU TUMTUMIKIE BWANA
 
Tunazidi kuwakaribisha waombaji ktk roho na kweli popote pale walipo kujiunga nasi ktk mtandao mpya kabisa wa wanamaombi unaotarajiwa kuzinduliwa mwezi novemba mwaka huu. Lengo kuu la mtandao huu ni kuungana pamoja ktk vita vya kiroho kumpinga na kumwaibisha shetani na jeshi lake pia tutajihusisha na uenezaji injili, maombezi, kutiana moyo wakati wa matatizo, n.k Km unawiwa kujiunga nasi tuna sms ya jina lako kwenda 0767840793 ili uorodheshwe na mengi utajuzwa kupitia simu. SIFA:Uwe mwombaji uliye mfu wa dhambi na unayetegemea uongozi wa ROHO MTAKATIFU ktk maombi yako. KATIBA yetu ni Biblia takatifu, miongozo na kanuni itatungwa na wanamtandao wenyewe wakati wa mkutano wa uzinduzi na uchaguzi wa viongozi. KARIBU TUMTUMIKIE BWANA
Ni jambo jema,ila msisahau kuombea uchaguzi
maana hiyo Novemba kuwepo itategemea sana oktoba na
kilichomo.
 
[h=1]A Prayer for our Nation's Election[/h]O God, we acknowledge You today as Lord,
Not only of individuals, but of nations and governments.

We thank You for the privilege
Of being able to organize ourselves politically
And of knowing that political loyalty
Does not have to mean disloyalty to You.

We thank You for Your law,
Which our Founding Fathers acknowledged
And recognized as higher than any human law.
We thank You for the opportunity that this election year
puts before us,
To exercise our solemn duty not only to vote,
But to influence countless others to vote,
And to vote correctly.

Lord, we pray that Your people may be awakened.
Let them realize that while politics is not their
salvation,
Their response to You requires that they be politically
active.

Awaken Your people to know that they are not called to be
a sect fleeing the world
But rather a community of faith renewing the world.

Awaken them that the same hands lifted up to You in prayer
Are the hands that pull the lever in the voting booth;
That the same eyes that read Your Word
Are the eyes that read the names on the ballot,
And that they do not cease to be Christians
When they enter the voting booth.

Awaken Your people to a commitment to justice,
To the sanctity of marriage and the family,
To the dignity of each individual human life,
And to the truth that human rights begin when Human Lives
Begin,
And not one moment later.

Lord, we rejoice today
That we are citizens of Your kingdom.

May that make us all the more committed
To being faithful citizens on earth.

We ask this through Jesus Christ, our Lord.

Amen.
Source:
http://www.catholic.org/prayers/prayer.php?p=649
 
[h=1]A Prayer for our Nation's Election[/h]O God, we acknowledge You today as Lord,
Not only of individuals, but of nations and governments.

We thank You for the privilege
Of being able to organize ourselves politically
And of knowing that political loyalty
Does not have to mean disloyalty to You.

We thank You for Your law,
Which our Founding Fathers acknowledged
And recognized as higher than any human law.
We thank You for the opportunity that this election year
puts before us,
To exercise our solemn duty not only to vote,
But to influence countless others to vote,
And to vote correctly.

Lord, we pray that Your people may be awakened.
Let them realize that while politics is not their
salvation,
Their response to You requires that they be politically
active.

Awaken Your people to know that they are not called to be
a sect fleeing the world
But rather a community of faith renewing the world.

Awaken them that the same hands lifted up to You in prayer
Are the hands that pull the lever in the voting booth;
That the same eyes that read Your Word
Are the eyes that read the names on the ballot,
And that they do not cease to be Christians
When they enter the voting booth.

Awaken Your people to a commitment to justice,
To the sanctity of marriage and the family,
To the dignity of each individual human life,
And to the truth that human rights begin when Human Lives
Begin,
And not one moment later.

Lord, we rejoice today
That we are citizens of Your kingdom.

May that make us all the more committed
To being faithful citizens on earth.

We ask this through Jesus Christ, our Lord.

Amen.
Source:
http://www.catholic.org/prayers/prayer.php?p=649

sala nzuri
 
Tunazidi kuwakaribisha waombaji ktk roho na kweli popote pale walipo kujiunga nasi katika mtandao mpya kabisa wa wanamaombi unaotarajiwa kuzinduliwa mwezi Novemba mwaka huu.

Lengo kuu la mtandao huu ni kuungana pamoja katika vita vya kiroho kumpinga na kumwaibisha shetani na jeshi lake pia tutajihusisha na uenezaji injili, maombezi, kutiana moyo wakati wa matatizo, n.k

Kama unawiwa kujiunga nasi tuna sms ya jina lako kwenda 0767840793 ili uorodheshwe na mengi utajuzwa kupitia simu. SIFA:Uwe mwombaji uliye mfu wa dhambi na unayetegemea uongozi wa ROHO MTAKATIFU katika maombi yako.

KATIBA yetu ni Biblia takatifu, miongozo na kanuni itatungwa na wanamtandao wenyewe wakati wa mkutano wa uzinduzi na uchaguzi wa viongozi.

KARIBU TUMTUMIKIE BWANA

ni jambo zuri sana hili. tuko pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom