Wanakwaya Arusha Walipuliwa kwa Bomu

Wanakwaya Arusha Walipuliwa kwa Bomu

Yesu kristo wa nazaret awe nao ktk kipindi kigumu wanachopitia.
Hiyo ni kazi ya wale takatifu!
 
Askari walitawanya vijana waliokuwa wakichoma matairi barabarani, hilo bomu litakuwa liliwekwa na wafuasi wa chadema kuwategea polisi.
 
Wahuni magamba waeneza udini uislam. Kwenye kwaya kuna muislam gani wakati kwa uzoefu magamba hutega mabomu makanisani na kusingizia cdm.
 
heri ya mwaka mpya majeruhi Mungu yu pamoja ntafurahi kusikia mmepona wote.siasa za majitaka waachieni CCM na CDM.Maskofu nchini huu ni wakati wakupuuzi chochote kinachoitwa siasa kanisa liitwe kanisa.shame on you Kikwwete
 
Nimeona taarifa ya habari ya saa 2 usiku Star TV majeruhi waliolazwa hospital wamesimulia tukio

Swali langu hivi ukijeruhi au kuua mzazi/mke/mtoto kwenye rusha rusha bomu hizi utajisikia faraja?
 
kama ni kweli mchawi anataka kutuaribia solo LA utalii co mwenyej
 
Back
Top Bottom